Njia ya kuwa na mahusiano na mwanamke kwa urahisi

Kama hutojali naweza kukupa amani ya moyo karibu

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Acha Siasa, Kanuni ni zile zile tatu.

1.Mpe PESA.

2.Mpatie PESA.

3.Mtumie PESA.
 
WEWE PIGA SIMU WAKATI KUNA MJUBA MWINGINE ANAONANA NAYE FACE TO FACE NA ANA MDATISHA KWA MANENO YA ANA KWA ANA NA KUJARIBU KUMTOMASA ,MWISHO WA SIKU MPIGAJI SIMU UNAKUWA FRIEND ZONE, SO UKIPIGA SIMU UPIGE KWA AJILI YA KUMTOA OUT SIO UNAPGA SIMU TU KAMA CUSTOMER CARE
 
Bila hela anakuona katuni tu aseee we sema unafanya kazi BOT, TRA, NSSF

au unamiliki biashara kadhaa kariakoo hata ka hupigi simu freshi tuu utalabwa had miguu
 
Ila kwa taarifa yako wanaume wasio wajali sana wanawake ndio wanaonekana wanaume makini ,na wengi wao hupewa mbususu bila nguvu nyingi , ila kwa macho ya kawaida wadada utasikia simpendi mkaka fulani, kisa tu hampi airtime ,ila huyo mkaka akiamua anapiga huyo mdada ndani ya masaa tu
 
Siku ukiombwa vocha na pesa ya kusuka uwe mwepesi kutoa pia...

Ukikosa mara 2 ,atakuwa hapokei simu yako ...
 
Unaongea kama mwanaume .pesa mfukoni hakuna utaongea nini zaidi ya maneno mengi kama nyimbo za mboso
 
Mmmh una k(kei) nzuri....au nimeelewa vibaya
[emoji23][emoji23][emoji23] nadhani alitaka kuandika anakazi nzuri.... samahani lakini kwa kujibu swali lisilo langu[emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kwani na wewe unahitaji
 
Hiyo njia inafanyakazi kwa watu wenye hela, kamahuna hela ukipiga simu mara kwa mara na kumjali akili yake inamtuma wewe ni king'anga'anizi, huna pakwenda, mshamba wa mapenzi na nimsumbufu haswa


Wanaume tumekubaliana 2024 siyo muda wa kuhonga, kuwaza mapenzi na kubwa zaidi tumeafikiana hawa viumbe wanaojiita dhaifu watajithomber kwa garama zao wenyewe.
 
Weka maneno mimi namtumia ela ya boda boda aje baada ya kufurahia simu zako na kufungua hyo DOPAMINE...Namnyandua alafu anarudi kuongea na wewe akiwa na furaha zaidi [emoji16]
 
Kaka ukimpigia simu hovyo mwanamke wa Kitanzania lazima akupige Mzinga.Usipo mtumia hata uwe unamsalimia vipi bado atakuona kama unamchora.We mtumie pesa hovyo lazima ata jaa tuu
 
Iyo plan 2024 ndo nimepanga nitumie nikizidiwa nanunua service nisije filisika..Na ukifilisika mwanamke ana msaada wowote zaid ya kukuonyesha dharau.
 
Yote sawa ila sio December hii. Kitakachokupata usiseme hatukusema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…