au kiboko hahahahahaKata maji kama mamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
au kiboko hahahahahaKata maji kama mamba
Eeeh sureau kiboko hahahahaha
Wengi ndio huwa intention yao, wapuuzi sana wanaume wa miaka hii. wanawaza ngono tukwani akikununulia lazima uende nae chumbani?
Sawa bwana, hahahahEeeh sure
Nitalifia kanisa langu takatifu katoliki la mitumeeeeOkoka
Kweli Faza umenena sawa sawiaIpo, ni kujiuliza ivi nani bosi kati yako na hicho kimiminika kinachofungiwa kwenye chupa? ukishajua kumbe wewe ni bosi basi utaanza kuicontrol si yenyewe ikupelekepeleke
Tena kwa kipindi hiki kigum we gonga tu kurefreshSawa bwana, hahahah
Hureeeeeeeeeeeeeee, wazo jema hilo, waooooooooooooooooooooooooooooookULA bIA wEWe..................................................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
[emoji2] sawasawa wanasema mdogomdogo ila usilewe ila kumbuka pombe sio chai,Nitalifia kanisa langu takatifu katoliki la mitumeeee
Ahsante kwa ushauriDawa ni kuhudhuria kwenye ibada
ukikataa atafanyeje?Wengi ndio huwa intention yao, wapuuzi sana wanaume wa miaka hii. wanawaza ngono tu
Kuna dada ana lalamika eti mumewe akilewa akirudi anafungua friji anakojolea humu akidhani anafungua mlango wa toilet hahahah[emoji2] sawasawa wanasema mdogomdogo ila usilewe ila kumbuka pombe sio chai,
Siku ukikosea mlango ukaingia chumbani Kwa mkwe nadhani hutataka ushauri uache au uendelee
Hafanyi kitu ila mnakuwa mme differukikataa atafanyeje?
wewe wakinunua kunywa tu ,Hafanyi kitu ila mnakuwa mme differ
Sawa mkuuAhsante kwa ushauri
Maamuzi Ya kilevi huwa ni majuto baadaeukikataa atafanyeje?