Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu siwezi maana huwa naweka bill kabisa
Mkuu siwezi maana huwa naweka bill kabisa
Dah....[emoji13] [emoji13]Dawa ni Yesu Kristo.
Najua aliacha ila mke alitafuta mwingine sio huyo tenaHii yangu ni ya kweli kabisa.
Kaka mmoja alikuwa mlevi kupindukia. Alibahatika kuchumbia mwanamke ambaye wanatoka kijiji kimoja huko moshi marangu ila yeye anakaa mjini. Mwezi mmoja kabla ya harusi yake akiwa huko marangu kama kawaida yake akatoka kwenda kunywa. Akalewa sana na bahati mbaya mvua kubwa ikaanza kunyesha so ikabidi ajikongoje kwenda nyumbani. Hakufika mbali akaanguka kwenye matope chini ya mgomba akawa anajikongoja kuamka ila anashidwa maana amelewa sana. Bahati mbaya wakwe zake watarajiwa wakapita wakamuona wakamuokota na kumkokota mpaka nyumbani kwao (kwa wakwe), kesho yake asubuhi anaamka nyumba tofauti amechafuka matope wakwe wanamtolea macho... Je hivi ndivyo utaenda kututesea mtoto wetu?
Mkuu tujue ulipo nitibu ndugu zangu wengi wanateseka kwa pombeMkuu umepata hiyo dawa. Nilipo hapa kuna mtalaam anatoa hii dawa ambayo ukiinusa tu utapa kichefu chefu cha ajabu kila unapohisi harufu ya pombe yoyote. Kichefuchefu hiki kinapelekea kutapika kusikokwisha mpaka kuachia ngazi. Wengi wameshaachia ngazi na hawakurudia tena pombe. Tuwasiliane.
Hahahahha kuachia ngazi huenda nikufaKaka kuachia ngazi mbona ni matisho. Yaani nitapike mpaka niachie ngazi? Noooooooooo hapana. Mi nataka niache pombe tu sio niachie ngazi.
JANJAJANJA , new member Blower = mbereUPDATES
Nimekunywa kifuniko kimoja 10ml jana saa 3 usiku mara baada ya dk 10 - 15 kuanzia kinywa hadi kooni unapata mabadiliko yanayokufanya usitamani pombe, hali hiyo naipata hadi asubuhi hii. Ni dose ya siku 5, 10ml kila siku. Nitaendelea kuwapa mrejesho.