Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdada anakunywa pombekitu gani wakwetu picha haijafunguka aloo
Dawa ni kuamua kuacha... Naamin kama ukishafany maamuzi ya kuacha therz no going back, ila kama hutafany maamuz ya kuach ata utumie nn huwezi acha..Wadau hivi kuna dawa ya kuacha hii kitu?!
![]()
Dawa pekee kinywa halafu kakojolee ukuta wa msikiti au polisi post mchana.nadhani hamna dawa zaidi ya hyoWadau hivi kuna dawa ya kuacha hii kitu?!
![]()
Najitolea kukufundisha[emoji482]natamani unifundishe initoe stress
Dawa ya kuacha pombe ipo na wengi wametibiwa na kupona. Kuna mganga yupo Kongwa mkoani Dodoma ambaye amefanikiwa kuwatibu ndugu zangu kadhaa waliokuwa wameloea kwenye pombe kiasi cha kupoteza mwelekeo. Kama una ndugu aliyeloea kwenye pombe au hata wewe mwenyewe, njoo PM nikupe namba za mganga huyo wa uhakika. Mm nimeshuhudia ndugu zangu wakiacha pombe kwa dawa zake, hivyo siwezi kuwa mchoyo wa tiba hii. Karibuni sana.Wadau hivi kuna dawa ya kuacha hii kitu?!
![]()