Aisee Mlachake, ukiipata hiyo dawa naomba uniPM nami niijaribu.
Mi nimejaribu kuacha na nimeshindwa kabisa.
Ngoja nikazimue kwanza.
mbona ukiamka athubuhi unakunywa ndoo nzima ya maji baada ya kunywa bia jana yake?Save water by drinking beer!!!!!!
mmh!..hii kali sasa!tutaacha kunywa kweli?Chukuwa Pombe unayotumia kwa mfano kama ni Bia au Konyagi nenda nayo makaburini kaiweke juu ya Kaburi lolote lile ilale siku moja kisha kesho yake nenda huko Makaburini ulipoiweka hiyo pombe kaifunguwe na unywe basi ndio itakuwa dawa hutakunywa tena hiyo pombe inshallah.
Wandugu natafuta dawa ya kuacha pombe jamani. Nisaidieni kila nikikumbuka ze pombe naamishia ofisi kaunta. Yaani ndugu nateseka sana. Halafu nikisha kunywa nahamasika sana na mchezo wa ule wakati watoto wamelala. Nifanyeje jamani?
Mshauri arudi Kanisani au Msikitini..nadhani ana pepo la pombe!!Ndugu zangu nisaidieni kitaalam!!! naumia kila nimwonapo ndugu yangu akiwa amelewa kupindukia kufikia kiasi cha kukokotwa na kusaidiwa kurudishwa nyumbani. Je kuna namna yoyote ya kuweza kumsaidia mtu huyu kitabibu??????
Ndugu zangu nisaidieni kitaalam!!! naumia kila nimwonapo ndugu yangu akiwa amelewa kupindukia kufikia kiasi cha kukokotwa na kusaidiwa kurudishwa nyumbani. Je kuna namna yoyote ya kuweza kumsaidia mtu huyu kitabibu??????