Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,710
- 2,587
Mvunjie mayai matatu kwanza pale kwa fasi then muone reaction yake kesho yake tungi likiisha.
Jamani tiba zingine mtazame mnampa nani, mdingi ako kweli unaweza mpa dawa ya kisela namna hiyo????
Ila Mtwara kuna mchizi alikuwa anaitwa ally yeye kaacha kabisa baada ya masela wenzie kumvunjia yai moja na kumiksi na tu unga wa wangano kidogo. Jamaa walimpa ofa ya monde akafakamia kinouma nouma alipozima walimpeleka katika pagala wakashusha suruali mpaka kwenye mapaja na kibaridi cha alifajiri kilimptia kustuka saa moja wananzengo wamemzunguka, lakini alikumbuka kwamba alikuwa na kina Dulla kabla ya kuzima. alijifungia ndani siku tatu na alijua keshaliwa manake alipojigusa siku ya tukio aliona utelezi toka siku hiyo hawajamuona tena akipombeka.
Dawa zingine chungu kama mdingi anazingua apewe tu.