Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Ndiyo wakuu.

Napenda sana uzinzi kwa wanawake tofautitofauti, si mabinti, si wamama , si wake za watu, si wazee n.k n.k .
Mbali na hilo napenda sana kunywa pombe ( bia) aina ya safari lager ndogo ( mwendokasi).

K
Kila hela ninayopata lazima nimege kaportion kidogo kwa ajili ya kutimiza hayo malengo makuu mawili.

Nikimuona mke wangu na mtoto naumia sana ila nashindwa kujizuia kabisa.

Ushauri tafadharini wanaJF
 
Dawa ya kukusaidia ni kufunga na kusali tu...DANIELI 9:3-5, kwa mwenyezi Mungu kila kitu kinawezekana.
 
Dawa kuacha chochote ni KUAMUA KUACHA NA KUACHA! hakuna nyingine
 
Dawa yak
Dawa yake nenda pale central police. Mtafute mkuu wa polisi mpige mitama ya kufa mtu. Utafungwa miaka mitatu ukitoka huko uko safii unaokoka full
 
Iyo hali ya kutaka kuacha hayo unayofanya , tiyari umeshaanza kupona , cha muhimu chukua hatua zaidi, ya kusikiliza maoni chanya zaidi yanayokuasa kuacha pombe na hiyo.kitu wanawake za watu, badilisha mazingira yanayopelekea kuiona pombe na wanawake wa watu , tumia muda mwingi kua na famalia yako , unapokumbuka pombe , ingia kwenye maombi umuombe Mungu akusaidie, mwisho wewe na Mungu ndio mtakaomaliza iyo shida.
 
Sawa mheshmiwa katibu mkuu
Ngoja niwasiliane na mwenyekiti tuitishe kikao fasta
Kosa 1 kubwa ni kuacha pombe ambapo kwa mujibu wa sheria yetu anapunguza idadi ya walipa kodi hyo tutampa adhabu kali sana
Fine yake ni kutununulia kreti 20 za bia na mizingaaa 10 bombadier ya nyagi pamoja na kvant

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…