Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Kama unafanya kazi omba ufukuzwe,na kama umejiajiri subiri ufilisike mkuu hata dushelele haita simama utaacha tu
 
Kwakwo na kamati ya maadili tunataka mrejesho
Ngoja niwasiliane na mwenyekiti tuitishe kikao fasta
Kosa 1 kubwa ni kuacha pombe ambapo kwa mujibu wa sheria yetu anapunguza idadi ya walipa kodi hyo tutampa adhabu kali sana
Fine yake ni kutununulia kreti 20 za bia na mizingaaa 10 bombadier ya nyagi pamoja na kvant

Ova
 
Ndiyo wakuu.

Napenda sana uzinzi kwa wanawake tofautitofauti, si mabinti, si wamama , si wake za watu, si wazee n.k n.k .
Mbali na hilo napenda sana kunywa pombe ( bia) aina ya safari lager ndogo ( mwendokasi).

K
Kila hela ninayopata lazima nimege kaportion kidogo kwa ajili ya kutimiza hayo malengo makuu mawili.

Nikimuona mke wangu na mtoto naumia sana ila nashindwa kujizuia kabisa.

Ushauri tafadharini wanaJF
Badirisha mfumo wa maisha yako
Anza kusali kwa dini yako
Mungu wetu ni mwenye huruma atakusamehe

Fanya toba ya kweli,ukimaanisha,kama mkristo soma sana biblia
Kama muislamu ingia YouTube kaangalie video ya sulat fajri,ukiiona ile video bila shaka utabadirika,utapata hofu ya Mungu,utaacha hayo matendo.
 
Nakushauri ukiamka asubuhi kunywa flagili,halafu endelea na mishe zako utakua ukipata kiu ya pombe unakumbuka umemeza dawa!!hivyo hivyo Hadi siku 7!!utaacha kabisa
 
Siku utakayoliwa mkeo ndio siku utaacha huo upuuzi
 
Kabla sijatoa ushauri jaribu kuandika gharama ya sex na pombe kwa mda wa mwezi mmoja . Uangalie na kipato chako hata kama ni kikubwa angalia kitu muhimu .
 
Haya mambo ukiyaangalia kwa juu juu unaweza dhani kama ni kawaida tu ila yana root ndefu sana fatilia sana kwenye ukoo wenu kama ni watu wa kufanya matambiko utakubaliana na mimi kwamba huko pombe ni sehemu muhimu kwenye shughuli za huko

Sasa sikia kinacho fanyika huko kwenye matambiko ni makubaliano na pombe inakua sehemu ya ushuhuda ambayo kwenye vizazi vinavyo fata kuna baadhi ya watu hata wafanyeje kuchomoko kwenye mtego wa pombe inakua swala gumu kweli ILA ipo namna ya kuchomoka

Nikwenda kwa maombi na kutubu na kuFanya toba kwa makosa ya wazazi wako na yako pia ili kuvunja Yale makubaliano yote ya kwenye matambiko





Wasalam
Ndiyo wakuu.

Napenda sana uzinzi kwa wanawake tofautitofauti, si mabinti, si wamama , si wake za watu, si wazee n.k n.k .
Mbali na hilo napenda sana kunywa pombe ( bia) aina ya safari lager ndogo ( mwendokasi).

K
Kila hela ninayopata lazima nimege kaportion kidogo kwa ajili ya kutimiza hayo malengo makuu mawili.

Nikimuona mke wangu na mtoto naumia sana ila nashindwa kujizuia kabisa.

Ushauri tafadharini wanaJF
 
Nenda kalewe sana. kisha angusha gari ili vijana wamtaani waku.fi.re na ijulikane mtaa mzima. hakika utahama mtaa na hutaonja pombe maishani mwako especially mkeo akijua. maana kila utakapoomba vitu atakukumbushia kwamba mbona na wewe ushafir.w.aaa
 
Dunia ya ajabu sana.Wakati wengine wakiangaika kwa waganga kutafuta namna yakuboresha nguvu zao za kiume kuna wengine wanazo alafu hawataki kuzitumia.Wakati wengine hawawezi kulala kwasababu ya mashida mbalimbali na pombe hawawezi kunywa.Mambo mengine ni akili yako mwenyewe.
 
Ndiyo wakuu.

Napenda sana uzinzi kwa wanawake tofautitofauti, si mabinti, si wamama , si wake za watu, si wazee n.k n.k .
Mbali na hilo napenda sana kunywa pombe ( bia) aina ya safari lager ndogo ( mwendokasi).

K
Kila hela ninayopata lazima nimege kaportion kidogo kwa ajili ya kutimiza hayo malengo makuu mawili.

Nikimuona mke wangu na mtoto naumia sana ila nashindwa kujizuia kabisa.

Ushauri tafadharini wanaJF
Mwamini YESU atakuokoa
 
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Watu wengi wanatamani kuacha pombe hasa ukizingatia na matokeo mabaya baada ya kunywa pombe kama kutojali familia, kumaliza kipato, magonjwa hasa ya uzinzi yanayopatikana kwa ngono zembe baada ya kulewa, mwili kudhoofu n.k
Sasa watu wengi wanaujiuliza namna Nzuri ya kuacha pombe ila wanashindwa mwingine akiwa hana ela anaapa kabisa naacha pombe ila akishapata ela anarudi tena kunywa pombe.
Ili uache pombe fuata njia ifuatayo ambayo ni nyepesi kuliko nadharia zingine unazosikia
Kwanza acha pombe ukiwa na ela za kutosha kwamba hauachi pombe kwa sababu hauna bali unaacha pombe sababu umeamua kufanya hivyo, hiyo itakusaidia sababu hata ukitamani kununua bia hauta nunua sababu hauiitaji Bali sio sababu hauna ela
Pili ukishaamua kuacha pombe tafuta jambo la mbadala la kufanya mda ambao ulikuwa unakunywa pombe sababu watu wengi wanashindwa kuacha pombe sababu ya kukosa jambo mbadala la kufanya mda ambao walikuwa wanakunywa pombe, jambo la kufanya hapa kwa wenye familia ni kuimarisha mahusiano mazuri na familia yako kama kuwafundisha Watoto home work, kumsaidia mkeo kazi ndogo za Nyumbani kama kupalilia bustani n.k pia jambo lingine la kufanya ni kusoma Vitabu vya Mungu, hii itakusaidia sana sababu ukiwashakuwa na hofu ya Mungu itakuwa rahisi sana kuacha pombe.
 
Back
Top Bottom