Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

heeeeeeeeeeeeeeeeeeee!! wengine wanasema ya Punda, wengine ya kondooo
kunywa ya nguruwe hakika utarudi hapa kunishukuru, madhara yake ni kwamba ukirudia tena kunywa pombe utatapika sana na inaweza kukuletea homa
 
Wadau hivi kuna dawa ya kuacha hii kitu?!
27337256_1841505225860938_5503661048073424491_n.jpg
Hakuna dawa ni kuamua ktk nafsi,zaidi ya hapo kunywa ulewe hujitambu ktk maeneo ambayo hawakujui halafu anguka kitakachokutokea utaweza kuacha pombe bila kulazimishwa na kiumbe chochote duniani
 
Anatumia virutubisho hivi viwili C24/7 na restolyf vipo katika mfumo wa vidonge akitumia hivi atakua anakosa hamu ya kunywa pombe na ataacha ulevi

Mawasiliano au whatsap 0767886627
FB_IMG_1539265371501.jpeg
FB_IMG_1541077312279.jpeg
 
Habarini.

Pombe ina raha yake bana. Kuiacha ni kazi mno inayohitaji maombi na kujikana sana.

Tamaa ya uzinzi ni laana iliyotukuka zaidi hapa duniani. Umalaya ni gonjwa.

Kuacha umalaya ni maamuzi magumu sana.

Nimefanikiwa kuacha umalaya, pombe ndo best yangu. ikiwa na kitimoto pembeni, rojo.

Walevi karibuni.
 
Ni uamuzi tu mbona mimi naachaga nikiwa sina ela kuanzia tar.12 hadi 23 ya kila mwezi sinywi,kama siku11 kwa mwezi mara 12=132days sinywi sengerema light!
 
nilikuwa sijui ladha ya maji..Lakini automatically alivyoingia mzee wa 'viwanda' najua ladha ya maji ya kuchemsha na ya bomba..

wengi wananisifu na kuniuliza... 'umefanyaje hadi umeacha bwax.?' Huwa sijibu...

ile company/group ya bwax au bia ilijisambaratikia yenyewe..kwa Amani.Amina

*sasa ni kizazi cha pombe kali mf. Shujaa,shimha,spirit na gin
 
Siku nyingine lete vitu constructive.
Umalaya. Pombe. Shit. Umbea havitusaidii
 
Kuacha pombe ni kazi sana ila ukiwa huna hela unacha mwenyewe bila kuambiwa na mtu
 
hii kitu inanitesa hatari.
Sijui cha kufanya ili niache.
siwezi kupata usingizi hata kidogo hadi nishtue.
Ila ni tamu balaa.
 
Kutokana na hali ya uchumi kubana, watu wengi wanatamani kuacha pombe but wanashindwa kwani washakua addicted na pombe. Sasa ifiatayo ni dawa simple ya kienyeji.

Tafuta pesa almost 30,000/=Tsh nunua kuku, chinja na utoe NYONGO then chukua pombe yoyote unayoipenda changanya na NYONGO YA KUKU then KUNYWA.

Baaada ya kumaliza kinywaji chako piga nyama za kutosha lala na ndo mwisho wako wa kunywa pombe.

NB:KUACHA KUNYWA POMBE NI UFALA.
 
Back
Top Bottom