Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Kunywa pombe zilizopo mpaka ziishe, hii ndio dawa ya ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kunywa Safari ndogo. Huku tunaiita kirikuu..Ile sio pombe ni liquefied bread "TRUST ME"
 
Dawa ndogo sana hiyo mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ,nakupa dawa niliwahi kusikia inaponya sana na wanaitumia sana Uganda kama unavyojua waganda walevi kupindukia ,
wengine hufikia hatua kama ya kwako kutaka kuacha ,

DAWA NI MOJA TU
CHEMSHA KONDOM KWENYE NDIZI ,
ALAFU KULA BILA KUWAZA CHOCHOTE NA SUPU PIGA KAMA YOTE , HAUTAKUNYWA POMBE MILELE
 
Nenda ubungo river side pale darajani kama ukiwa unatokea mwenge mkono wa kushoto kuna mmasai,nenda muulize hilo tatizo mtoe hata jero,hutokaa urudie pombe kama hatokuwepo kuna dogo ana duka la jumla umuulizie alipo huyo mmasai ni wa kitambo sana pale ni nyuma ya pale baada ya daraja,tatizo lako litaisha.
 
Alhamdulillah nimebakiza hizi siku mbili jumamosi na jumapili naaimini ntashinda ni uthubutu tu

Nilazima pia ubadili ratiba ya mambo yako Kama unanafasi jioni kafanye mazoezi, tafuta vitabu vya stories ambavyo utakua nahamu na mwendelezo wake

Ukiona unakiu kimekushika rudi home fasta cheki muvi na hakikisha unakua muongo kwa jamaa zako kwani sm zitakua nyingi Sana zikikutaka uwahi mjumuiko usiwaentertain kabisa marafiki vyapombe wakila siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmhhh hii sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ntaenda kujaribu, angalau wew umenipa jibu lenye matumaini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…