Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Saidia hapa hapa ata wengine tuna ndugu wana shida iyo
Nia yangu ni kumuunganisha na anayeweza kusamsaidia huyu ndg yake na jamaa kuacha pombe duniani tumeumbwa kusaidiana katika shida na raha pia[emoji120]
 
Imenikosea nini hadi niache? ili iweje? mbadala eti kumsaidia wife kazi ndogondogo! aa wapi!
 
Nimeacha pombe mwezi wa tatu naelekea sasa.

Huwa naamua kuacha hata kwa miaka, kuangalia tu kama naweza.

Ulevi wangu mpya ni JF na movies.
 
Tuseme nimeacha niambie nifanye kitu gani au niwe nawai nyumbani kumsaidia wife kazi za nyumbani? Hv unaweza kwenda baa kuangalia mpira uku unakunywa maji au juice? Upuuzi kama huu siwezi kufanya ata kidogo kama kuacha acha wewe mm naendelea na K- vant zangu.
 
[Hii QUOTE="evart, post: 31939355, member: 385279"]
Mchamganyie metronidazole au disulfiram kwenye pombe
[/QUOTE]
Hiii in kweli ndugu tusije kuchanganya tukafa
 
Wakuu nipeni ushauri jinsi ya kuacha pombe nimejitahidi nashndwa naona zinanimalizia hela for nothing..
 
Weka nnya kwenye pombe, nakuahidi utaichukia na hutokunywa tena [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Afadhali umeleta hii mada na mimi imenigusa.Mimi kuna wakati nakunywa bia nikichanganya na pombe kali naugua siku nne.
Ndugu yangu pombe inaua haraka na taratibu.Mfano ukinywa pombe kali mizinga minne tumboni hakuna kitu huamki.
Vishawishi vya pombe ni pesa na marafiki.Kuacha pombe ni rahisi mno kuliko sigara.Fanya hivii!!
1.Epuka kwenda kwenye maeneo ya pombe mfano bar
2.Kuacha marafiki ulikuwa unakunywa nao ni ngumu na sio vizuri maana wakati mwingine si ajabu huko kwenye pombe ndio ulipatia cheo kazini.Wewe ukiwa nao waambie uko kwenye dozi ya muda mrefu.Usitangaze umeacha pombe watatumia mbinu kukurudisha kundini.
3.Ukitoka nyumbani usitoke na hela nyingi.
4.Ukiona ngumu agiza bia mbili nywea nyumbani
5.Wakati mwingine wake zetu ni chanzo cha sisi kutoka kuna wake vimeo sana gubu haliishi.Muda ukiona hali hiyo nenda nyumba za ibada au fanya zoezi la kukutoa jasho au lima bustani au shamba.
6.Hamu ya pombe ikikushika chemsha maji lita 1.5 kunywa yakiwa vuguvugu utalala usingizi wa pono.Usidanganyike utakuwa unakunywa soda nyingi ukiacha pombe soda zina madhara kuliko pombe
ANGALIZO
Sio kila mnywa pombe hana maendeleo na sio kila asiyekunywa ana maendeleo.Kwa utafiti wangu wasiokunywa wengine ni wazinzi mno ana nyumba ndogo aheri anayekunywa

Mimi nimejaribu nimeweza mwaka umeisha sasa ila sijaacha ninasemaga nimepumzika
 
kuacha sio jambo zuri fikiria tena ikiwezekana punguza usiache kunywa kistaarabu Tu 4 itapendeza sio kila siku anza ratiba ya kunywa wkend T
 
Real men cannot quite drinking.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…