Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Niliwai kuacha pombe kwa miezi minane ,hakika sikuwa na hamu hata kidogo miezi 7 ya mwanzo....mwezi wa nane siku moja usiku nimelala nilistuka usingizini na kupata hamu ya ajabu sana ya pombe...kesho yake nikamwambia wife kuwa nina hamu ya ajabu.....sikunywa lakini...mwezi huo huo nilijikuta nimelewa kwenye sherehe ya rafiki yangu.......aisee mpaka leo sinaga la kusema yani....
 
nyeto hakikisha hukai mbali na dem kwa mrefu inasaidia, mi nmepiga punyeto miaka kumi lkin baada ya kukaa karibu na manz kwa kipnd flan niliacha kabisa ila sa huwa naokoa siku moja moja nikipitia huko xvideos, kwa sa niko peke ndo mana uw nakumbushia kimtindo
 
Uwe unajipongeza kwa kupata bia 2 au tatu
 
I like this 🤣🤣🤣🤣
 
Burudika na Dear gambe kutoka kwa "muuaji kijana"....
Ila wiki moja mkuu bado,walau hata upite hata mwezi mmoja unaweza kusa kitu.
Hata hivyo nakutakia kheri kwenye nia yako hiyo.
 
Nimeshajaribu kuacha pombe mara mbili, mara ya kwanza niliweza kwa miezi kumi. Mara ya pili nilidumu kwa miezi mitano tu.
 
Habari za jioni Wakuu..

Rejea kichwa cha habari hapo juu, ninaomba msaada wa hali na mali niweze kumsaidia ndugu yangu ambaye POMBE inazidi kumharibia maisha yake COMPLETELY.

Tumeshazungumza naye, amefanyiwa counseling, na mengine mengi sana ila hali inazidi kuwa mbaya.

Naumia sana kila nikimuona, alikuwa na kazi nzuri sana na wadhifa mkubwa ila ameharibu.

Kila anachopata, kinaishia huko kwenye POMBE.

Wenye uzoefu na msaada tafadhali.

Maoni Yaliyotolewa:
 
Dah kama muhusika mwenyewe hayuko tayar itakuwa ni vigumu sana kumbadilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…