Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Make him economically cripple ili akose pesa ya kununua hizo pombe
KMA YUPO SERIOUS NIMUELEKEZE AENDE RUNGWE YUPO MTAALAMU ATAACHA MM SHUHUDA NINA MJOMBA MTOTO WA SSTER ANGU PMOJA NA DDA ANGU DD ANGU MKUBWA KBLA AJAFARIKI ALIWAPELEKA HKO POMBE MPK KESHO WAMEACHA ILA DAWA MPK AKUNYWESHE MTAALAMU MWENYEWEeddyiko,
pole sana ndugu ila niliwahi sikia kuna dawa anapewa muhusika anakunywa na inaanza kufanya kaz akisha kunywa hiyo dawa tu kila akisikia harufu ya pombe anakua na kichefuchefu na anahisi kutapika
KMA YUPO SERIOUS NIMUELEKEZE AENDE RUNGWE YUPO MTAALAMU ATAACHA MM SHUHUDA NINA MJOMBA MTOTO WA SSTER ANGU PMOJA NA DDA ANGU DD ANGU MKUBWA KBLA AJAFARIKI ALIWAPELEKA HKO POMBE MPK KESHO WAMEACHA ILA DAWA MPK AKUNYWESHE MTAALAMU MWENYEWE
MPENI MAZIWA YA MMBWA ANYWEHabari za jioni Wakuu..
Rejea kichwa cha habari hapo juu, ninaomba msaada wa hali na mali niweze kumsaidia ndugu yangu ambaye POMBE inazidi kumharibia maisha yake COMPLETELY.
Tumeshazungumza naye, amefanyiwa counseling, na mengine mengi sana ila hali inazidi kuwa mbaya.
Naumia sana kila nikimuona, alikuwa na kazi nzuri sana na wadhifa mkubwa ila ameharibu.
Kila anachopata, kinaishia huko kwenye POMBE.
Wenye uzoefu na msaada tafadhali.
Maoni Yaliyotolewa:
so what is the way forward ?Hapana hii sio njia sahihi, ukifanya hivi anaweza akaangukia kwenye wizi, akawa atachukua vitu ndani anauza
Sent using Jamii Forums mobile app