Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Roho inaniuma kuona wadau wanajaribu kutoka chamanii, mnaacha pombe mgundue nini???Yaani wewe mimi kabisa uache pombe ili uwe mchawi sijui
Asanteeee, kitu cha baridiiiiiiii! 😋😋Acha tujinywee tuView attachment 1300341
Halafu kitamuuuuuu......beer tamu jamaniAsanteeee, kitu cha baridiiiiiiii! [emoji39][emoji39]
😂😂😂Alafu niache beer mimi huyuuu, nimerogwa.Halafu kitamuuuuuu......beer tamu jamani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Umerogwa au unataka kuwa mchawi hapana jamani beer siachi hata[emoji23][emoji23][emoji23]Alafu niache beer mimi huyuuu, nimerogwa.
Gongaa beer mamaa.
in babu Asprin voice?Bia ya baridi mchana wa jua kali ni tamu sana asikwambie mtu.
Mlevi wa kike hi![emoji2772][emoji2772][emoji2772]Acha tujinywee tuView attachment 1300341
Mia pia uwa nakunywa ijumaa ila nikiamka jmos najiapisha kuiachaUwa nakunywa ijumaa tu, ila asub uwa najisikia ovyo kabisa na kutoitaka tena
Ebu uko mfyuuuuu natumia hela yako au kwakuwa natumia hela yangu kunywa havikuhusu mwanaume kuwa kama mwanamkeMlevi wa kike hi![emoji2772][emoji2772][emoji2772]
Yaani hapa nilisema sinywi mpaka Xmass ... Lakini tuna mzinga wa tatu tupo wawili .... Ila kitimoto ni bonge la foundation..... Stamala kama yote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nisimulie kidogo ilikuaje??Sitasahau unywaji wa reds mbili ulivyonibadilisha from Yna2 to Beyonce ndani ya usiku mmoja..
Sent using Jamii Forums mobile app
Unanikeraga ila nakupenda hivyohivyo[emoji1][emoji1][emoji1]
Hahahah jinga weweJay z alifaidi sanaaaa!
Ndio tatizo langu nikitumia hii kitu