Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Shida yangu mi nimeshindwa kuacha soda. Nilijaribu kuikana ili niwe nakunywa maji tu ila sikumaliza hata mwezi. Msaada wakuu.
 
Shida yangu mi nimeshindwa kuacha soda. Nilijaribu kuikana ili niwe nakunywa maji tu ila sikumaliza hata mwezi. Msaada wakuu.
IMG_20191224_213848_0.jpg

Kunae kreti zimebebana ... Bia tamuuuuu ..... Kreri mbili .. Tunaendelea...
 
Kila kitu ni sababu.
Hujapata sababubya msingi basi huwez kuacha.
Ila kuachika inaachika vizuuuuuri kabisa
 
Habar wakuu,

Ni kijana wa miaka 20 nmemaliza form mwaka juzi sijawahi kuendelea Tena kuvaa sare za shule lakini tangia nimalize shule mpaka sasa nimekuwa mlevi sana marafiki zangu wengi watu wazima wazee na wadogo wengi wamenipita zaidi yamiaka 10 na kuendelea ndio marafiki zangu hao sinaga rafiki Mimi Wala mpenzi na mpenzi wangu yupo advance na mpaka kumaliza ni muda ni muda mwingi sana.

Nimekuwa mlevi Sana naona sasa naenda kufa kimasihara.

Kwa siku namaliza sh 50,000 mpaka 60,000

msaada wa ushauri tafadhali

Asanten.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaomba ushauri wa kufanya nini?

Siku nyingine, tueleze unayofanya, tuombe tuchakate kutokana na uzoefu kisha tukushauri kama uko kwenye raiti traki utembee kifua mbele AU ubadili traki.

We kama umejua si sawa, itafute SAWIA
 
Unaomba ushauri wa kufanya nini?

Siku nyingine, tueleze unayofanya, tuombe tuchakate kutokana na uzoefu kisha tukushauri kama uko kwenye raiti traki utembee kifua mbele AU ubadili traki.

We kama umejua si sawa, itafute SAWIA
sasa nmetoa post Kwan lazima niseme ushauli wakuacha pombe ? Nkisema ushauli na maelezo yake hujaelewa tuu ? Unajitoa akili mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom