[QUOTE="Makanyagio,
Weka wazi mkuu, pombe inaporudisha maendeleo yake nyuma we inakuathiri vipi? je ni mtu unaemtegemea kimaisha? Kama hapana mi najua Pombe ni starehe na mara nyingi mtu anatakiwa anywe pesa ya ziada. Anyway, niliwahi sikia huko kanda ya ziwa wana dawa flani huwekwa katika pombe mtu akinywa hiyo pombe basi atachukia pombe maisha yake yote yaliyobaki.
Kingine ni mtu mwenyewe tu, huenda kuna mambo yanamsibu jaribu kwanza kuchunguza kama yapo uanze kutatua hayo, watu wengine ni wasiri sana anapokuwa na matatizo hasemi wala hatafuti ushauri, hii hupelekea kufanya mambo ambayo hugeuka ulaibu. Binafsi niliwahi pitia hali ya ulevi chanzo kilikuwa broken heart( i met my first love at 26 years), niliamini she is the only one but nikaja realize alikuwa mchumba wa mtu na alikuwa anajitahidi sana kunificha.
Nilipoamua kuachana nae sikupenda lakini ilikuwa ni bora kuliko kushare, imagine unajua anatoka na mtu mwingine halafu mda unapokuwa nae anakwambia anaweka simu silent and then next time unampigia unakuta hapokei badae anakwambia simu niliweka silent, she is telling you alikuwa anasokotwa, ha ha haaa.
Niliona aibu kuwaambia washkaji kwa hofu watanicheka na kila mawazo yalipozidi nikaishia kuwa mlevi, jamaa mmoja akakutana na yule dada ndo kumuita shemeji bidada akaeleza mkasa mzima, jamaa waliniweka kikao wakanishauri and believe me tangu siku hiyo niliacha ulevi. Now i drink occasionally na huwa sinywi zaidi ya bia 2. I only go out 2 weekends in a month, the rest i dedicate to work and that really has changed my llife. YOUR WOMAN AND ONE TRUE LOVER IS ONLY YOUR MAMA.