hakuna cha mungu, mungu hakataz pombe tu. hata umalaya, wizi kitimoto, dhulma mbona vyote hivyo havisemwi...pombe ina immediate impact kwako ma jamii....mfano budget, utomvu wa nidhamu mf kukosa busara nk
ni pm ntakusaidiaNi miaka zaidi ya kumi na tano kila nikijaribu nashindwa!!!
Great thinker what can i do so that never and never take in any alcoholic drink!!!!!
Lile zuri nilipendalo silitendi,Lile baya nisolipenda ndio natenda!!!!!!!!!!
......fanya kama ulivyoanza ndio utakavyoacha......Ni miaka zaidi ya kumi na tano kila nikijaribu nashindwa!!!
Great thinker what can i do so that never and never take in any alcoholic drink!!!!!
Lile zuri nilipendalo silitendi,Lile baya nisolipenda ndio natenda!!!!!!!!!!
hakuna cha mungu, mungu hakataz pombe tu. Hata umalaya, wizi kitimoto, dhulma mbona vyote hivyo havisemwi...pombe ina immediate impact kwako ma jamii....mfano budget, utomvu wa nidhamu mf kukosa busara nk
mkuu pombe haiondoi busara kwa kila mtu hapo napingana na ww wazi wazi pia utovu wa nidhamu watu wanakunywa pombe kwenye sherehe kubwa na bado wana present vitu vya maana kuliko unavyofikiri. Ni nyang'au wachache tu wanaharibia wenzao.
Ni miaka zaidi ya kumi na tano kila nikijaribu nashindwa!!!
Great thinker what can i do so that never and never take in any alcoholic drink!!!!!
Lile zuri nilipendalo silitendi,Lile baya nisolipenda ndio natenda!!!!!!!!!!
aksante kalimiloMpaka sasa umeshapona mkuu maana tayari umeshagundua tatizo ambalo lipo hapo mstari wa mwisho, ni kuhamia kwenye kutenda yale ambayo unayapenda kwa nguvu zo ikiwezekana kuwashirikisha watu wako wa karibu