kibobori.1
Senior Member
- Nov 7, 2014
- 167
- 21
Vuta bangi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kuwa wewe ni teja la bange unataka kila mtu awe kama wewe.....?pombe pombe ukizidisha inakuwa noma.....anza kuvuta bange automaticale uta switch off pombe!
Huwa mnakutana wapi ili nije maana si unajua humu tunatumia majina tofauti!!!Alcoholics Anonymous (A.A) ni ushirika wa wanaume na wanawake ambao wanashirikiana ujuzi, nguvu na matumaini kati yao ili waweze kutatua matatizo yao na kusaidia wengine kupona ulevi.
Sharti pekee la uanachama ni nia ya kuacha ulevi. Hakuna ada ya kuwa mwanachama wa A.A, tunajitegemea wenyewe kwa michango yetu wenyewe. A.A haifungamani na madhehebu yoyote ya dini, siasa, shirika au taasisi na haitaki kujiingiza katika mabishano yoyote. Kadhalika A.A haiungi mkono wala kupinga chama chochote.
Nia yetu ya msingi ni kukaa bila kulewa na kuwasaidia walevi wengine kufikia hali hiyo.
Kwa mawasiliano: +255 789 78 05 29
Ni miaka zaidi ya kumi na tano kila nikijaribu nashindwa!!!
Great thinker what can i do so that never and never take in any alcoholic drink!!!!!
Lile zuri nilipendalo silitendi,Lile baya nisolipenda ndio natenda!!!!!!!!!!
Jiweke karibu na Mungu na uwe mtu wa Ibada utaacha tu.
Kwa kuwa wewe ni teja la bange unataka kila mtu awe kama wewe.....?
Jiweke karibu na Mungu na uwe mtu wa Ibada utaacha tu.
Hahahahaaaa.....comment imenifurahisha mpaka nimesahau kuichangiaKuwa na adabu kwa mimea mkuu, hasa huo mmea uliobarikiwa kuliko yote.
Hahahahaaaa.....comment imenifurahisha mpaka nimesahau kuichangia
Wewe unatumia?Kuna watu wako na mawazo yaliyopumbazwa kuhusu mambo tofauti, kuhusu mmea ndio wako wengi ajabu.
Ndio ninatumia!Wewe unatumia?
Kwa siku unatumia kete ngapi?Ndio ninatumia!
Kwa siku unatumia kete ngapi?
kunywa maji lita 3 alafu kunywa maji yaliyochanganywa na magadi nusu lita baada ya hapo kunywa lita moja ya maji yaliyochanganywa na limao au ndimu. Fanya zoezi hili kwa mwezi mmoja lazima pombe utaacha. Proved to work successfully 100%Wana JF,
Kwa yeyote anejua dawa au mbinu ya kumfanya mlevi kuacha pombe. Nina ndugu yangu yeye bila kilevi cha pombe siku haiendi kabisaa na hii imekuwa inarudisha maendekleo yake nyuma.
Wanaoijua tiba mnijuze niokoe maisha yake na familia yake.
Baadhi ya majibu kutoka kwa wadau
===============