Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Wana JF,

Kwa yeyote anejua dawa au mbinu ya kumfanya mlevi kuacha pombe. Nina ndugu yangu yeye bila kilevi cha pombe siku haiendi kabisaa na hii imekuwa inarudisha maendekleo yake nyuma.

Wanaoijua tiba mnijuze niokoe maisha yake na familia yake.


Baadhi ya majibu kutoka kwa wadau



===============







njia sahihi na ya uhakika ni kuokoka.....kukubali Yesu awe bwana na mwokozi wa maisha yako atamaliza kiu yote ya pombe tofauti na hapo cjui mm nlitumia njia nyingi bt sikuweza kufanikiwa ila nlipookoka sikusikia tena hamu ya pombe wala sigara
 
wadau nilikia naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia niache bia manake nimekua addicted sana siwez lala bila kugonga hata bia nne naona kama zinanimalizia hela! please guys i am serious

Nikushauri juu ya ulevi iko hivi wakati mwingine si hali ya kawaida unaweza fikiri ni kunywa tu kumbe umetupiwa kitu na watu wabaya usikumbuke maendeleo bali ulevi tu,pepo la ulevi sasa kulitoa hili linahitaji maombezi nakushauri uje sabasaba maonyesho dar ndani ya viwanja vya sabasaba jumatano hadi jumamosi ni maombezi kwa watuwote saa kumi kamili yanaanza bure kabisa kanisa la eagt kwa mchungaji katunzi ukiuliza watuwengi wanapajua nimeona wengi kwa machoyangu wakiacha ulevi baada ya maombi hakika Munguyupo pale atakusaidia kumbuka kwa mchungaji KATUNZI.
 
Nikushauri juu ya ulevi iko hivi wakati mwingine si hali ya kawaida unaweza fikiri ni kunywa tu kumbe umetupiwa kitu na watu wabaya usikumbuke maendeleo bali ulevi tu,pepo la ulevi sasa kulitoa hili linahitaji maombezi nakushauri uje sabasaba maonyesho dar ndani ya viwanja vya sabasaba jumatano hadi jumamosi ni maombezi kwa watuwote saa kumi kamili yanaanza bure kabisa kanisa la eagt kwa mchungaji katunzi ukiuliza watuwengi wanapajua nimeona wengi kwa machoyangu wakiacha ulevi baada ya maombi hakika Munguyupo pale atakusaidia kumbuka kwa mchungaji KATUNZI.
huu ni upotoshaji, asilimia kubwa ya ulevi ni wakurithi. hamna majini wala uchawi. ila kuokoka kunasaidia kupata kampani nzuri.
 
Tahadhari, sitaki mnipe mbinu za kuacha kunywa Pombe kwani mbinu nyingi nimeshajaribu nikashindwa(unless uwe na experience kubwa sana na mbinu/ushauri huo).Mie nataka dawa (hususan ya Jadi,au yaKichina kama unaijua).

Naomba nisiwachoshe kwa historia yangu ya unywaji wa Pombe. Basically, hainidhuru Morally. Ila, shida nikwamba, naingiliwa sana kunako Pochi(Mfukoni).

Zaid ya hayo, i just wanna be free from drinking.

MSAADA TAFADHARI.
mshana jr , MziziMkavu , na wanajukwaa wengine. Nawaombeni msaada huo.

ASANTENI.
 
Last edited by a moderator:
Tahadhari, sitaki mnipe mbinu za kuacha kunywa Pombe kwani mbinu nyingi nimeshajaribu nikashindwa(unless uwe na experience kubwa sana na mbinu/ushauri huo).Mie nataka dawa (hususan ya Jadi,au yaKichina kama unaijua).

Naomba nisiwachoshe kwa historia yangu ya unywaji wa Pombe. Basically, hainidhuru Morally. Ila, shida nikwamba, naingiliwa sana kunako Pochi(Mfukoni).

Zaid ya hayo, i just wanna be free from drinking.

MSAADA TAFADHARI.
mshana jr , MziziMkavu , na wanajukwaa wengine. Nawaombeni msaada huo.

ASANTENI.

Nakupa dawa inachekesha na unaweza kuona ni utani lakini kaijaribu halafu uyaniambia
Fanya uwezavyo upate kunguni wakubwa watatu,wachome/wakaushe kisha wasage separately na kila mmoja unga wake uweke kwenye kifuko cha nylon,nenda kaagize kilevi chako mwaga kwenye chupa/glass piga yote, rudia hiyo dozi mara tatu kisha njoo uniambie
 
Last edited by a moderator:
Tahadhari, sitaki mnipe mbinu za kuacha kunywa Pombe kwani mbinu nyingi nimeshajaribu nikashindwa(unless uwe na experience kubwa sana na mbinu/ushauri huo).Mie nataka dawa (hususan ya Jadi,au yaKichina kama unaijua).

Naomba nisiwachoshe kwa historia yangu ya unywaji wa Pombe. Basically, hainidhuru Morally. Ila, shida nikwamba, naingiliwa sana kunako Pochi(Mfukoni).

Zaid ya hayo, i just wanna be free from drinking.

MSAADA TAFADHARI.
mshana jr , MziziMkavu , na wanajukwaa wengine. Nawaombeni msaada huo.

ASANTENI.

Nakupa dawa inachekesha na unaweza kuona ni utani lakini kaijaribu halafu uyaniambia
Fanya uwezavyo upate kunguni wakubwa watatu,wachome/wakaushe kisha wasage separately na kila mmoja unga wake uweke kwenye kifuko cha nylon,nenda kaagize kilevi chako mwaga kwenye chupa/glass piga yote, rudia hiyo dozi mara tatu kisha njoo uniambie
Hii ni tiba nzuri hata kwa wavuta sigara bangi na unga
 
Last edited by a moderator:
Nakupa dawa inachekesha na unaweza kuona ni utani lakini kaijaribu halafu uyaniambia
Fanya uwezavyo upate kunguni wakubwa watatu,wachome/wakaushe kisha wasage separately na kila mmoja unga wake uweke kwenye kifuko cha nylon,nenda kaagize kilevi chako mwaga kwenye chupa/glass piga yote, rudia hiyo dozi mara tatu kisha njoo uniambie
Hii ni tiba nzuri hata kwa wavuta sigara bangi na unga

Suala ni kwamba hiyo dawa haichekeshi ila jinsi ya kumpata huyo kunguni hapa mjini ni sawa na kuniambia nilete kuku wa blue
 
Tuwasiliane lakini jiandae kisaikolojia maana ukitumia dawa hiyo lazima ufanye kituko ambacho hutakisahau kwenye maisha yako.

Mfano jamaa mmoja alivua nguo akaweka suruali begani akaelekea home huku watoto wakumfuata nyuma wakiimba...
 
Wadau natumaini nipo jukwaa sahihi kueleza msahibu yangu nikiamini naweza kupata chochote kusidia kumaliza tatizo langu

Wakuu kiukweli kama kunajambo nakua sikatimiza kulingana na mipango yangu basi asilimia tisini husababishwa na pombe ninazokunywa

Nimejaribu kuamua kuacha lakini najikuta inaniwia ngumu na ninaendelea kunywa kama kawaida

Napoteza kipato changu kwa asilimia kubwa kwenye ulevi kuliko maelezo

Ombi langu kweni hebu nisaidieni namna bora ya nini nifanye kuachana na ulevi
Nawasilisha
 
Back
Top Bottom