Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani naombeni mnishauri nimsaidiaje mume wangu aache ulevi maana ht maendeleo ye2 yanakuja taratibu sn kwsbb kipato chake anamaliza bar.
hapanaUlevi wake ni wa kupoteza fahamu?
Ugumu Wa Jambo Lako Ni Mmoja Tu! !!
Alikuowa Akiwa Mlevi?
Ama Baada Ya Kuowana Akaanza Ulevi?
Kama Kaanza Long Huwezi Kumbadili
mpeleke kw gwajima mzee wapolisi
yan kabla hatujaoana alikua anaficha ckua najua kbs na alikua anasm ye hatumii hy k2 lkn baada ya ndoa ndo nimekuja gundua kumbe n mlevi.I dn't knw what to do nw!
simple tafuta maziwa ya mama anayenyonyesha...mchanganyie kwenye kinywaji chake...afu kaa pembeni uone kama hajatapika hadi utumbo..na akimaliza arudii tena..ama vip mama terry..??