Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unakunywa dawa mara moja na kuacha pombe kabisa....wala hutamani hata kuona chupa ya bia. Mm mwanzoni nilidhani ni utani nikaja kushuhudia kwa ndugu zangu 3 waliokunywa hiyo dawa na kuacha kutumia kilevi hicho mpaka leo.Hiyo dawa unakua unaitumia KILA hamu ya pombe inapokuja? au unameza mara moja (au kwa siku kadhaa as prescribed by the Mganga) then automatically unaacha pombe once and for all? sio ubishi mkuu, tunajifunza tu hapa.
Harafu kunywa Pombe sio ugonjwa ujue.
Hata Chid Benz ukimuambia aache pombe atakuambia hivyo. Wanaojua anaacha pombe ili iweje ni wazazi na ndugu zake wanataabika naye sasa hv.Naacha bangi ili iweje kwa mfano
Kuwa serious basi mkuu no hazipatikaniMpigie saa12 asubuhi. Sasa hv anatokwa udenda cm amefunga. Lakini jalibu na hii pia 0673234566. Utaongea nae au mjomba wake
Mkuu nimekosa jibu ila Nina dawaAwamu hii walevi wengi wata tapeliwa...kitu kimemshinda mzungu,mswahili aweze.!?aingii akilini.
Kweli wewe ni bonge la tapeli mamamamamamae. Nimekupa number yangu ambayo ipo on unasema haipatikani. Acha janja janja ya kuwaibia watanzaniaKuwa serious basi mkuu no hazipatikani
Usiniite hivyo mkuu tafadhali tueshimiane , Wakati unanipa no nilizipiga zote zikawa hazipatikaniKweli wewe ni bonge la tapeli mamamamamamae. Nimekupa number yangu ambayo ipo on unasema haipatikani. Acha janja janja ya kuwaibia watanzania
Kwa huku nimeanza kusema usiku nimemtumia MTU wa humu Arusha nitamuomba alete majibuNi nani aliyetumia akapona?
Ni kwa nia njema tu nimeuliza.
Mkuu unakunywa dawa mara moja na kuacha pombe kabisa....wala hutamani hata kuona chupa ya bia
Adi mchana huu nimetumia Wateja 6 waliosoma huu Uzi ntawaomba warudishe feedbackMmmmh hiyo ''dawa'' ni kiboko . Nimekuwa nagonga monde for 20 consecutive years. Then nikiinywa tu hiyo dawa after mere 10 minutes nachukia pombe kabisaaa na hata chupa ya bia sitaki kuiona, let alone kuonja kidogo??
Hili litakuwa ajabu la nane la Dunia!
Aiseee pango au kodi ya nininalipa lipa kodi bado