Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Nimepambana sana kumpata mawasiliano ya chid nimeambiwa mawasiliano yake yapo itumbi hotel magomeni Mimi kwa sasa sipo dar ambaye yupo karibu na hotel hii anitafutie mawasiliano yake tafadhali
 
Kiwanda cha sigara watafanya figisu hadi hao wagunduzi wa dawa waisome no ya Jpm
 
Hiyo ni sawa na china walipokuwa wanataraji kutengeneza pikipiki inayotumia maji wakati urabuni wanaishi kuishi kupitia mafuta
 
Hiyo ni sawa na china walipokuwa wanataraji kutengeneza pikipiki inayotumia maji wakati urabuni wanaishi kuishi kupitia mafuta
Ntakuwa nashauza sana
Na kuponya wengi mkuu kuna watu wanateseka mno siyo hawa wanaocoment hapa kijeuri ambao hawajakamatika sasa nikistoopishwa nikiwa nashukuriwa na watu 10000, watanzania elfu wakiniombea na kunishukuru. Watatosha sana nikijakufa ntaacha alama
Kuacha pombe sigara bangi siyo mchezo mkuu
 
Nina hamu uoneshe ni jinsi gani na kila dawa ina viambata gani ambavyo vitaenda kumfanya mtu aache uraibu wa kitu husika.
Mfano nini kitaenda kuvunja arosto kwa mvuta sigara, bangi na mnywa pombe.

Swali zuri mkuu! Kwa mwenye akili timamu huwezi kumwambia eti dawa ya kuondoa Arosto kwa dakika kumi! Tena inaonyesha Ni dawa aina 4 tofauti Ila zote zina jibu ndani ya dakika kumi! Ghaaa!! Hivi wa tzee ndio wanadanganyika kirahisi hivyo??
 
Swali zuri mkuu! Kwa mwenye akili timamu huwezi kumwambia eti dawa ya kuondoa Arosto kwa dakika kumi! Tena inaonyesha Ni dawa aina 4 tofauti Ila zote zina jibu ndani ya dakika kumi! Ghaaa!! Hivi wa tzee ndio wanadanganyika kirahisi hivyo??
Mkuu no nilizoweka ni zangu na MTU akinipigia nampa namba ya pili siwezi Fanya uhuni na kujianika wote niliowasaliana nao nawaambia kazi yangu na nilipo kama ana ndugu anakubali na wengine wananijua. Huna shida, MTU akiumwa wala haulizi mkuu
 
Mkuu haya uyanenayo ni ya kweli au changa la macho
Kuna mtu nimemwambia ingekuwa ni uongo ningefungua akaunt mpya hii account ninayo na ndiyo naendelea kutangazia dawa yangu, na ukinipigia nakupa address yangu
Na wewe pokea hill jibu
 
Vipi inatibu pia kuacha punyeto na kuacha kubet??? [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Vipi inatibu pia kuacha punyeto na kuacha kubet??? [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Wengi wa wanaosema sana hapa siyo wanunuaji kwasababu hawajakamatika vilivyo
Utani mwiiingi ila jitaidini kunifikishia ujumbe
 
tpaul ndio huyu mganga kaja na id ingine.ila mkuu tpaul km kungekuwa na dawa ya kuacha wanawake ningekuja kukuona mimi sijawahi kukataliwa na mwanamke sasa umri unazidi kwenda nataka kuacha
 
Ingekuwa kweli hata usingehitaji kujitangaza mwenyewe;habari zingeshatufikia!
...nikupe 150,000 hivi hivi kirahisi rahisi,hivyo hivyo na nguo zako au utavua?
 
Vipi dawa ya kuacha mambo yetu yale ipo? Natamani nibaki na mmoja tu🙁🙁
 
Back
Top Bottom