[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23]Naona umeamua kuweka tigo yako wazi hapa Jf, sorry au ni airtel hii?
Nna hamu ya kupata hlo jibu.. Waiter ongeza kiroba tafadhali kwanza nikisubiri hlo jibu.Ndugu zangu mimi nimetumiwa leo hii toka Korogwe, Tanga saa hizi nakunywa pombe lkn ifikapo saa 3 usiku nitainywa hiyo dawa halafu nitatoa mrejesho kama si leo basi kesho fuatilieni mrejesho.
Safi sana. Mi pia nalipiaYa bia
Mkuu ndio mm. Dawa ya wanawake ingekuwepo hata mm ningeishainywa siku nyingi....nami natesswa sana na tatizo hilo. Ila nadhani mm lazima nitakuwa na pepo la ngono sio bure.tpaul ndio huyu mganga kaja na id ingine.ila mkuu tpaul km kungekuwa na dawa ya kuacha wanawake ningekuja kukuona mimi sijawahi kukataliwa na mwanamke sasa umri unazidi kwenda nataka kuacha
Tuwasiliane mkuu , lakini pia tusubiri mrejesho wa jaama juu hapoSiku nikigundua mtu kaniwekea hayo makitu ili niache pombe wallai naweza kuua...naombaya sigara mkuu zimenichosha!!
Ila mm nguvu zimeshaanza kupungua labda iwe kwa team mpyaMkuu ndio mm. Dawa ya wanawake ingekuwepo hata mm ningeishainywa siku nyingi....nami natesswa sana na tatizo hilo. Ila nadhani mm lazima nitakuwa na pepo la ngono sio bure.
Mkuu kama una ndugu aliyeshindikana mnunulieXx ndani dakika kumi tu unaacha pombe zikipita izo dakika kumi unaludia pombe,ebu fafanua vizurii yaani mtu achee pombe ndani ya dakika kumi mbona kitu rahisi,swali kwani uyu uwa anakunywa mda wote?mpaka iwe dakika kumi wasilisha vizurii
Ndugu zangu leo nimepokea hiyo dawa toka Korogwe baada ya kuweka order saa 3 asubuhi, nakunywa pombe kwanza ifikapo saa 3 usiku nitainywa hiyo dawa halafu baada ya muda kidogo au kesho fuatilia mrejesho.
UPDATES
Mkuu dawa IPO inaponya na kukuachisha kwa 100% mtaelewa tu polepoleMkuu naomba ya sigara kwanza naomba unipm na ntaomba unipunguzie bei,juu mwezi ni mgumu sana,nikipona sigara ntafata ya pombe!!