Wapo wengi sana wa aina hiiPesa ipo acha watu walewe huyo anayenunua anajiweza na pengine hata hizo hisa anazo kila mtu na bajeti yake katika starehe..mi ntamshaangaa yule anayelewa alfu nyumbani haachi hata hela ya chakula cha familia
Ni Kazi kubwa sana Binadamu kubadili tabia,
Ulevi ni tabia ya mtu na Ulevi una hasara nyingi tukubali au Tukatae.
Mfano.
kama unakunywa Bia Tatu kila siku weekends unakunywa tano ina maana unakunywa Bia 25 kwa wiki, Na nyie wa maofisini mnaknywaga windhock na Heineken that means ni Tshs. 3000 kwa bia.
Kwea mwezi ni 100 Beers at minimum kwa mfano hii 300,000 kila mwezi ungekua unanunua hisa za CRDB leo ungekua na hisa ngapi?
Ni mambo mangapi umefanya kwaajili ya ulevi yakakusabishia hasara?
Ukiajiangalia kwenye kioo huoni adhari za pombe usoni mwako?
Ni dini ipi inarhusu ulevi?
Muda unaotumia kulewa ungekua unasoma vitabu leo IQ yako ingekuwa tofauti kabisa!!!
Ni mara ngapi pombe imekupeleka kwenye mchepuko.
Ni mara ngapi unatoka Mbezi unaenda kunywa Tabata? hiyo gharama ya usafiri unaipigiaga mahesabu.
Hatua ya kwanza kuacha kunywa ni kuyawaza hayo hapo juu na mengine, ukishachukua hatua sasa naacha au napumzika jiwekee malengo.
Anza mazoezi, jioni unapotoka kibaruani fanya jogging! uchoshe mwili, ukienda kuangalia mpira bar agiza chupa yako kubwa ya maji ya kilimanjaro, au coka na maji mdodo mdogo unazoea.
Hali ni ngumu wazee, tupunguze matumizi yasiyo ya lazima
[emoji23][emoji23][emoji23]Raisi kuacha ukiwa huna ela.
Sio wote mkuu... Binafs situmii pombe yoyote na chin pia sipend kama ulivyomanisha wwMara nyingi wasiyotumia vilevi wanapenda sana chini
Ova
Hao ndio wamejaa mitaani uku wamebaki tu na kauli yani miye ningekuwa wewe basi tu ningekuwa mbali una muuliza kwani miye na mabawa wewe kuwa miye tu ufike uko mbaliWewe ambae haunywi pombe ushanunua hisa kiasi gani CRDB? kila kitu ni mipango tuu, wapo wengi wanaokunywa pombe na kimaisha huwakuti kabisa, wapo vizurii
Hear urself! Unawaza uchumi wa nchi wakati wako unateketea? Alcohol is good but its dangerous to ur healthy and pocket!Ikitokea watanzania wote wakaacha kunywa pombe kabisa vipi hali ya uchumi wetu itakuwaje??
Haina faida kwako,mm.binafsi sioni.hasara ya pomneHuwa tunajidanganya sana eti Bar tunabadilishana mawazo yenye tija!! hili sikubaliani nalo kabisa kabisa ni utetezi wa kitetea pombe ambayo haina faida
Any way wanione watakaoshindwa kuacha Wenyewe, ila kuna watu wengi wapo addicted kuacha bila Mimi ni ndoto waje tu pmNi Kazi kubwa sana Binadamu kubadili tabia,
Ulevi ni tabia ya mtu na Ulevi una hasara nyingi tukubali au Tukatae.
Mfano.
kama unakunywa Bia Tatu kila siku weekends unakunywa tano ina maana unakunywa Bia 25 kwa wiki, Na nyie wa maofisini mnaknywaga windhock na Heineken that means ni Tshs. 3000 kwa bia.
Kwea mwezi ni 100 Beers at minimum kwa mfano hii 300,000 kila mwezi ungekua unanunua hisa za CRDB leo ungekua na hisa ngapi?
Ni mambo mangapi umefanya kwaajili ya ulevi yakakusabishia hasara?
Ukiajiangalia kwenye kioo huoni adhari za pombe usoni mwako?
Ni dini ipi inarhusu ulevi?
Muda unaotumia kulewa ungekua unasoma vitabu leo IQ yako ingekuwa tofauti kabisa!!!
Ni mara ngapi pombe imekupeleka kwenye mchepuko.
Ni mara ngapi unatoka Mbezi unaenda kunywa Tabata? hiyo gharama ya usafiri unaipigiaga mahesabu.
Hatua ya kwanza kuacha kunywa ni kuyawaza hayo hapo juu na mengine, ukishachukua hatua sasa naacha au napumzika jiwekee malengo.
Anza mazoezi, jioni unapotoka kibaruani fanya jogging! uchoshe mwili, ukienda kuangalia mpira bar agiza chupa yako kubwa ya maji ya kilimanjaro, au coka na maji mdodo mdogo unazoea.
Hali ni ngumu wazee, tupunguze matumizi yasiyo ya lazima