farajakwangu
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,942
- 699
Pombe haimalizi hela asikudanganye MTU labda kipato chake ni kidogo tu yaan hata asipokunywa hali itakuwa ileile.Mbona nyie mnavaa nguo za gharama Na wala haziendan Na kipato lakin sijawahi sikia mwanaume akillmika.mvumilie tu anaondoa stress, kila mwanaume huwa Na ulevi wake akiacha pombe atataka Mzigo kila siku nawe hutompa au atachepukahapana hapotezi fahamu ila yan ye akipata 10000 bc yt lnaisha baa anarudi mikonn mitupu me cpendi kwakweli cjui niachane tu.