gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,577
Jamani naombeni mnishauri nimsaidiaje mume wangu aache ulevi maana ht maendeleo ye2 yanakuja taratibu sn kwsbb kipato chake anamaliza bar.
swala la kujitambua ni la mtu binafsi si la kufundishwa ila ushauri wangu anza kunywa na wewe