CleverKING
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 8,502
- 25,470
Waambie watu wa Nyumbani kwako kua Siku ukilewa chakari wakuchukue na kukupeleka Mochwari wakulaze kwenye sakafu chini,
Pombe ikikutoka kichwani na ukajikuta umezungukwa na Maiti nyingi utapiga kelele za uoga,hapo wakuache tu kama nusu saa hivi kisha wakufungulie mlango ili utoke,
Na imani hapo hutolewa tena coz ukilewa tena zoezi linaendelea lile lile tu la kukupeleka Mochwari.
Pombe ikikutoka kichwani na ukajikuta umezungukwa na Maiti nyingi utapiga kelele za uoga,hapo wakuache tu kama nusu saa hivi kisha wakufungulie mlango ili utoke,
Na imani hapo hutolewa tena coz ukilewa tena zoezi linaendelea lile lile tu la kukupeleka Mochwari.