Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Waambie watu wa Nyumbani kwako kua Siku ukilewa chakari wakuchukue na kukupeleka Mochwari wakulaze kwenye sakafu chini,

Pombe ikikutoka kichwani na ukajikuta umezungukwa na Maiti nyingi utapiga kelele za uoga,hapo wakuache tu kama nusu saa hivi kisha wakufungulie mlango ili utoke,

Na imani hapo hutolewa tena coz ukilewa tena zoezi linaendelea lile lile tu la kukupeleka Mochwari.
 
unatakiwa kwenda kwenye makanisa ya wokovu, zungumza na pastor the whole story, sometimes ni evil forces destined to destroy your destiny..
After PRAYERS you will see changes, This is real!!
Paulo anasema ninachotamani kukitenda sikitendi, ila nisichotamani kukitenda ndio nakitenda, that is external forces
Thanks mkuu, thanks for your courageous words...
Nitafanya hivyo
 
Ndo tatizo la vijana wa kibongo,mtu huna hata bajaji,nyumba,wala banda tu la kuku umehamishia kwe pombe! Alaf mwisho wa siku unatafuta mchawi oh nimerogwa mbona pesa hazikai! Mara lile loh.ndugu kama ulivyoanza kunywa na ndivyo uache kunywa.ukiona unashindwa tafuta mchuchu mmoja decent mwenye kujitambua na kujielewa mueleze shida yako kama utakubalika moyoni mwake mueleze tatzo lako naye atakusaidia.
Dada nashukuru kwa ushauri wako....
 
Mshahara wako ukitoka nipe nikushikie. Na unipe ruhusa ya kukukong'ota mikonzi nikikubaini ulikopa pombe. Nitakufanyia hii free of charge.

Option B, njoo ulewe baa za kwetu. Siku ukivunjiwa yai wallah wabillah, hutakaa unywe pombe tena
Bar zenu za Wapi mkuu.... Sio wa kiivyo.. Nakunywa maeneo classic. And always na behave...
 
Dogo unaweza sana ku control. Watu tumeanza kitambo na tunaenda nayo mdogomdogo. Tatizo company gani unayo na kutaka kuonyesha mbwembwe. Si unajiona handsome??? Sasa nikwambie nenda bar pke yako uwe na elf 10 tu kwa mfuko unywe bia zako 3 au 4 taratiiibu... Then muda utakuwa umeenda enda unarud hom. Hakikisha hata km bado unasikia kiu usiagize RUDI NYUMBANI. Fanya hivo walau mara 2 kwa wiki. Sasa angalia ni rafiki gan unaeweza kupeana company. Acha kutoka usiku. Acha kujiendekeza dogo. Huna pepo ni tabia ambayo unapaswa kuiacha kwa NGUVU. Dhamiria kwa nia kabisa kwa kuwa wewe ndo muhusika usianze kwa kutegemea eti watu wengine wakusaidie mf kuombewa. Kaa ndani kwako sali. Km mkristo chukua bible soma ukisikia usingizi lala. UKIAMUA UTAWEZA NA UTAZIDI KUWA HANDSOME kwa umri wako haujachelewa utapata mke na beautiful family. May God be with you
Thanks you mkuu.... Nimefurahi sana kusikia ushauri wako. Tatizo nikienda na elfu 10 ikiisha naingia ATM.
Nitajitahd ku avoid company za usiku.. Asante kwa ushauri wako.
 
Pole kaka Kitwanga wa jf.
Lakini mie naamini kwamba kila tabia unayoweza kuianzisha unaweza ukaiacha pia. Kuna njia nyingi za kutumia.
1. Marafiki ulio nao kama ni walevi kuachana nao itakuwa suluhu na kama huwezi kuwaacha washauri muache pombe na mfokasi kwenye maendeleo. Wale ambao watachukia ushauri wako watakukimbia na utakuwa salama. Jaribu kutafuta marafiki wasiokunywa Pombe.
2. Kumcha bwana ni chanzo cha maarifa. Anza kusali kwa kumaanisha na Mungu ni mwaminifu atakuokoa toka shimoni.
3. Anza kupunguza kiasi bia moja uinywe kwa masaa hata sita hivi. Usinywe haraka haraka.
4. Kama una tabia ya kutafuta pesa zisizo halali achana nazo maana ndo zinakupa kiburi cha kutafuta pombe maana unakuwa hauna uchungu nazo.
5. Jitahidi kunywa vinywaji visivyo na kilevi kama vile Grand Malt ingawa ina radha ya kufanana na bia lakini hailevyi. Kwa ushauri zaidi soma Mithali 21:17.
Mungu akuongoze naamini utabadilika.
Asante mtumishi, nafarijika sana kuona comment yako ambayo ni very constructive.
 
Waambie watu wa Nyumbani kwako kua Siku ukilewa chakari wakuchukue na kukupeleka Mochwari wakulaze kwenye sakafu chini,

Pombe ikikutoka kichwani na ukajikuta umezungukwa na Maiti nyingi utapiga kelele za uoga,hapo wakuache tu kama nusu saa hivi kisha wakufungulie mlango ili utoke,

Na imani hapo hutolewa tena coz ukilewa tena zoezi linaendelea lile lile tu la kukupeleka Mochwari.
Mkuu hii mbinu ya inahitaj uwe na ndugu ma mafia ... Hakuna jambo linaloshindikana nahis mob yangu sio nzur.
 
unatakiwa kwenda kwenye makanisa ya wokovu, zungumza na pastor the whole story, sometimes ni evil forces destined to destroy your destiny..
After PRAYERS you will see changes, This is real!!
Paulo anasema ninachotamani kukitenda sikitendi, ila nisichotamani kukitenda ndio nakitenda, that is external forces
Mi Nishawahi kwenda mara mbili bahati mbaya mara zote nilishapiga mai over kitwanga hapo sasa!Ni shida kwa kweli ila nitaacha tu!
 
kwakutambua tatizo ni hatua moja kubwa sana umeifanya sasa unahitaji nguvu ya kufanya maamuzi natumaini utashinda.
 
Ukipata hela zako toa za mahitaji mengine kisha zilizobaki zote nipe mimi hapo utakuwa umeacha kabisa maana hutakuwa na uwezo wa kujinunulia
 
Pole sana ndugu yangu solution ni ndogo tu, nayo ni amua kuamua. Mamlaka ya kujizuia yapo ndani ya uwezo wako acha kujiendekeza ni we mwenyewe wa kujitoa kwenye hilo janga la pombe kama ulivyojiingiza
 
Mbona ni rahisi kuacha pombe? Mrudie Mungu naye atakata kabisa kiu ya pombe na utakuwa mtu mpya,kuwa mtu wa sala na maombi na utakuwa umejengeka KISAIKOLOJI na kuishinda tamaa ya pombe.
 
Ushauri wa mwisho kama yote utashindwa, kunywa angusha gari uswahilini utaacha siku ya pili.
 
Kisingizio cha upepo sio issue. Issue ni addiction inayotokana na continuous practice
 
Back
Top Bottom