Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Kuacha pombe au sigara ni maamuzi kusema kwanzia leo tarehe 20 kwa maisha yangu yote yaliyo salia hapa duniani sintaa kaa ninywe tena pombe wala kuvuta sigara na ukisema hivyo kwa kumaanisha utajikuta unashinda vishawishi, Unavumilia maumivu na unasonga mbele hawa ndiyo wale tunao wasikiaga wakisema nina miaka kumi sasa sijavuta sigara au sijanywa pombe..
Siyo kweli
 
Mtu yeyote anayejiforce kuacha pombe au sigara kwa kutumia ''dawa'' huwa hachukui muda mrefu kupiga u-turn na kufakamia monde tena. Kuacha Pombe huwa ni maamuzi thabiti ya mtu mwenyewe kutoka moyoni kabisa. Any external influence normally fails miserably.
exactly! umenena vyema.
 

Attachments

  • 1484899019907.png
    1484899019907.png
    128.3 KB · Views: 45
We acha pombe tu haihitaji dawa. Wabongo km kila kitu in dawa dawa dawa sasa akili zetu tutatumia saa ngapi ? Hivi maamuzi tu ya kuacha kitu mpk utegemee dawa?
 
Hiyo dawa ipo inaitwa Naltrexone HCL (brand names Naltima/Nodict). Unaagiza online kutoka India
 
machame moshi kuna babu ana kikombe km cha loliondo...tunapaita samunge ndogo...nichek nikupe maujanja...
ila masharti yake ukirudia pombe unakuwa kichaa km kiroboto wa moshi...til u die..
 
Back
Top Bottom