Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Mda ambao hajanywa ni mtu wa namna gani?
Ukimtegea mda huo Anaelezekaaa?
Maana km unaongea nae mda amelewa, yy ndio anakuona mlevi.
 
Ni msikivu sana na mwenye kuonesha kujuta kila tukiongea, mpaka kufikia kusema kabisa hatorudia.

Ajabu akipata pesa tu, ni mpaka iishe ndo majuto huanza tena, hata iwe sh ngapi atahakikisha mpaka inakwisha ndo ataonekana nyumbani.

Alikuwa keshapiga hatua kubwa sana kimaisha ila POMBE imeharibu na inazidi kuharibu maisha yake.

Sijui tumsaidie vipi tena,
 
niliwah kumsaidia rafiki yangu mmoja ila njia niliyotumia ilikuwa ngumu sana. ila ilimsaidia na cjawah kumwambia. jamaa yangu alikuwa mlevi sana na mimi cnywi kabisa. sasa niliish nae kama miez 4 hiv. sasa kila cku jamaa naletewa kesi za kupiga watu cjui kutukana. sasa cku moja akajichanganya cku moja akamtukana canal wa jeshi mzee nilipata shida kumtoa acha kabisa. sasa nikaplan kitu.

Nikapanga kitu na dogo mmoja bila yeye kujua wakaenda na dogo akamnunulia bia za kutosha na kamchanganyia konyagi jamaa akawa talalila.nikawa nimeandaa barua moja kali sana. kumwambia kuwa kama hataacha ulevi watamfira kila wakimkuta amelewa. nikawa nimenunua mayai mabichi jamaa akiwa amelewa kaanguka mtaron na kulala hapo hapo. dogo kaenda kamvua nguo kammiminia ute wa yai bichi kwenye tigo.

Halafu kamwekea ile barua mfukon. kamwacha hapo. jamaa kuja kustuka kesho yake akaamka kimya kimya akaja home ana mawazoo. haongei namuongelesha ye kimya. nikaona kimya wik mara miez mara mwaka. cku moja nikamuuliza vip mkuu pombe umeamua kuipotezea nini? jamaa kaniambia nimeamua kuacha. ilikuwa mwaka 2003 mpaka leo jamaa kaacha pombe mazima. namshukuru Mungu nilimsaidia japo njia ilikuwa ngumu sana. so mzee baba kama huwez hayo maamuz magum we muombee tu.
 
kitali,
Sidhani kama hiyo njia inaweza kufanya kazi kwa kila mtu, kuna mmoja nafanya naye kazi nilipewa stori kuwa jamaa wanampitia kila akiwa amelewa,na haachi ulevi,na mkewe keshawahi hata kuja ofisini kulalamika kuwa mume wake anamtia aibu mtaani...
 
Sidhani kama hiyo njia inaweza kufanya kazi kwa kila mtu,kuna mmoja nafanya naye kazi nilipewa stori kuwa jamaa wanampitia kila akiwa amelewa,na haachi ulevi,na mkewe keshawahi hata kuja ofisini kulalamika kuwa mume wake anamtia aibu mtaani...

Dah, kiukweli ni changamoto na jamaa Mungu anampa bahati sana.. Kiasi kama isingekuwa pombe basi angekuwa mbali sana kimaisha..

Naumia sana hasa ukizingatia ni mwanaume, najaribu kuvuta picha maisha yake yatakuwaje mbeleni maana 😭
 
weka picha Sasa..itakuwa pombe ya nyumba nyeupe tu hiyo..
 
Ni msikivu sana na mwenye kuonesha kujuta kila tukiongea, mpaka kufikia kusema kabisa hatorudia.

Ajabu akipata pesa tu, ni mpaka iishe ndo majuto huanza tena, hata iwe sh ngapi atahakikisha mpaka inakwisha ndo ataonekana nyumbani.

Alikuwa keshapiga hatua kubwa sana kimaisha ila POMBE imeharibu na inazidi kuharibu maisha yake.

Sijui tumsaidie vipi tena,
Kwa uzoefu tu ni kwamba kadiri mtakavyokuwa mnajaribu kumsaidia kuhusu hilo jambo ndivyo anavyozidi kuzama ndani yake zaidi.

Kama ameshaianza 3th floor.....hard way is the only way; na hii ni kwamba itawaisaidia ninyi kutumia muda na maliasili zenu vizuri kwa mambo ya manufaa kwenu kuliko kuhangaika na mtu aliyeamua kuchora ramani ya maisha yake mwenyewe.

Ninao uzoefu na watu wa aina hiyo
 
Kuna naibu waziri mmoja kutoka kanda ya ziwa. Nayeye huyu atafutiwe dawa maana akiachwa aendeleze beer atakuja kuiaibisha JMT.
Anapenda pombe kuliko wanawake
 
eddyiko,
pole sana ndugu ila niliwahi sikia kuna dawa anapewa muhusika anakunywa na inaanza kufanya kaz akisha kunywa hiyo dawa tu kila akisikia harufu ya pombe anakua na kichefuchefu na anahisi kutapika
 
eddyiko, Kuna dawa nyingi sana nawajuzi wapo mikoani vijijini ipo dawa anatakiwa awekewe kidogo kwenye pombe akinywa hata fundo moja biashara imeisha hiyo atatapika mpka basi..sisi tunamsubira brother etu mmoja apa tumuwekee maana anatusumbua sana hakuna achofanya pesa yake inashia kwenye pombe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu
Huyo ndugu yako Kwanza mkikaa nae msiwe mnamsema na kumwambia pombe inamuharibia maisha ,inammalizia hela ,hafanyi kitu cha maana na maneno mengine ambayo yeye binafs ataona kama mnamsema vibaya hapo ndyo mtampagawisha zaid

Wakat mwingine huwezi jua Nini kinamfanya anakunywa kiasi hicho yaweza kuwa ipo sababu

Mlevi mzuri Ni yule ambaye hela anaacha nyumbani na anabeba kiasi tu kidogo kile alichokadiria kwamba nikipata chupa kadhaa ndio idadi yangu

Je unajua kwamba Kila mlevi anajua Ni chupa ngapi akifika ndio stimu znapanda na anaanza anahisi burudan?

Anzeni hapo Kwanza,utanipa feedback,usitake tu vuuuuuu! Aache pombe ningumu kama unga.

ataacha mwenyewe

Ila Kila siku mkimpigia kelele hizo kelele zenu zitafanya aongeze kreti nyingine maana ataona kama mnamsema vbaya na mnamuona hafai kwenu..

Mimi binafsi nilikuwa hivyo naweza nikaenda na 5laki nikarudi mweupee(bar Kuna ushawishi na marafk wa kujuana bar tu)

But ndugu walioamua wanikazie wakaanza kunisoma saa ngapi naenda bar(huwa Ni usiku nikitoka job) hata kama hanywi ataenda pamoja na wewe ukishalewa utaskia simu na vitu vyako nipe nikushikie umelewa sana,mdogomdogo mara kabla sijaenda anakupangia ratiba,unapinga mpaka unazoea

Hapa ninapoandika uzi huu nipo home mzinga umekufa zimebaki chupa 5 za bia ndio zinanisukumasukuma kumalizia usiku maana hata bar sitaman kukaa Tena Ni kuchukua na kutulia home na ndio najua kiasi gani nilipoteza huko nyuma(pesa zangu zinaniuma zileee)

Kumuachisha mtu pombe kibabe,maneno mabaya,kumsema ovyo Ni ngumu yatakiwa hata asipoacha apunguze na awe na ratiba maalum mwishoni mwenyewe ataona Nini afanye au vipi apange kuhusu pombe

Ni kama wewe mtu akuambie usitumie simu yako sababu inakumalizia sana bando na unakuwa busy sana kuchat utamuelewa wkt umeshazoea?

Mazoea mabaya

Nendeni nae taratibu,mwisho wale waliokuwa bar wanakula hela zake utawaskia ''siku izi huonekani bro unachukua na kusepa."

Lakini haya mawazo yangu tu!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom