Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Ukiipata hiyo dawa niambie na mimi pa kuipata maana, maana ulevi wangu umekuwa kero kwa jamii nzima na aibu kwangu.
Nikilewa mtaa mzima hawalali, natukana, napiga kelele, mlingoti nausimaisha kisha natembea uchi mchana kweupeeeee
Nikilewa mtaa mzima hawalali, natukana, napiga kelele, mlingoti nausimaisha kisha natembea uchi mchana kweupeeeee