Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasema nchi ambayo haina ubalozi nchini Kama Portugal then unamwambia aende ubalozini [emoji3][emoji3][emoji3].Nanda ubalozi japo Sina uhakika kama wapo nchini.
Nadhani nenda NairobiHabari wana-JF. Ningependa kufahamu kwa nchi ambazo hazina balozi hapa nchini (Portugal) ni njia zipi za kufuata kufanya application hasa kwa Visa ambazo inakubidi application ufanyie nchini kwako.
Retirement Visa / Portugal D7 Visa.
Wabongo bhana! Hujui hata anaenda kufanya nini ila hapo hapo unampangia nchi nyingine ili ndio aende!!Unaenda kutafutana nn Ureno? Moja ya nchi masikini sana barani Ulaya...bora uende Sauz!.
Naam Roman Catholic kwa ureno ni 90%Yaani Ureno au Portugal, ni maskini sana.Hebu nikupe hii stori labda mlikuwa hamjui.
Rai wa kireno walipokuwa wanakuja kwenye makoloni yao kwa ajili ya kufanya biashara za pembe za ndovu,madini, mbao n.k .Walikuwa wanawaowa wanawake wa inchi husika, na ni wazinsi sana, walevi na wapenda starehe.
Walikuwa wanamkakati wa kukiteketeza kizazi cha wenyeji kwa kutumia njia ya kuwazalisha sana.Yaani mlevi wa kireno alikuwa haoni tabu kumkamata mama au binti wa kiafrika na kufanya naye mapenzi popote pale, kukageuka na kuwa na makaradi wengi sana, kuanzia vijijini mpaka mijini.
Sasa wanaume wakajikuta wanafamilia zaidi ya moja, yana Ureno ana mke na watoto, na inchi husika ana mke na watoto, na ni waumini wazuri sana wa kanisa katoliki.Kulipotokea kuporomoka kiuchumu kwa Ureno, zikajikuta zile familia zilizoko Ureno zinaomba Msaada kwa ndugu zao walioko afrika, Maana hakuna ajila, maisha ni magumu
Kaka huku siku hizi watu hawana majibu kwa maswali makini. Nadhani ka unaweza ukaenda uhamiaji au kuwasiliana nao itakuwa vizuri. Nimeshangaa sana mtu hajui unaenda Ureno kufanya nini ila tayari kapanga sehemu nyingine unayoweza kwenda.Ureno kufanya nini ? Kuna fursa gani Huko? Miaka ya karibuni nilikuw jijini Porto nilikaa Siku 5 kwenye semina
Nili observé maisha sio rahisi kwa Hustler,maisha ni magumu alafu vina roho mbaya
Nb
Nina visa ya Schengen naingia nchi zaidi ya 25 without applying a vissa
Hiyo huwa inatutokea sisi wasoma heading tu 😂😂Kasema nchi ambayo haina ubalozi nchini Kama Portugal then unamwambia aende ubalozini [emoji3][emoji3][emoji3].
Mkuu ulichoandika ni historia lakini je kinahusika nini mada hii?Yaani Ureno au Portugal, ni maskini sana.Hebu nikupe hii stori labda mlikuwa hamjui.
Rai wa kireno walipokuwa wanakuja kwenye makoloni yao kwa ajili ya kufanya biashara za pembe za ndovu,madini, mbao n.k .Walikuwa wanawaowa wanawake wa inchi husika, na ni wazinsi sana, walevi na wapenda starehe.
Walikuwa wanamkakati wa kukiteketeza kizazi cha wenyeji kwa kutumia njia ya kuwazalisha sana.Yaani mlevi wa kireno alikuwa haoni tabu kumkamata mama au binti wa kiafrika na kufanya naye mapenzi popote pale, kukageuka na kuwa na makaradi wengi sana, kuanzia vijijini mpaka mijini.
Sasa wanaume wakajikuta wanafamilia zaidi ya moja, yana Ureno ana mke na watoto, na inchi husika ana mke na watoto, na ni waumini wazuri sana wa kanisa katoliki.Kulipotokea kuporomoka kiuchumu kwa Ureno, zikajikuta zile familia zilizoko Ureno zinaomba Msaada kwa ndugu zao walioko afrika, Maana hakuna ajila, maisha ni magumu
Hivi mtu anayeomba Visa ya Afghanistan au Somali utamsaidie kweli?au utamtadhalishaMkuu ulichoandika ni historia lakini je kinahusika nini mada hii?
Tuache ujuaji. Mtu anaulizia namna ya kupata visa wewe unaanza kumuambia Ureno ni masikini.
Dah
Ureno kufanya nini ? Kuna fursa gani Huko? Miaka ya karibuni nilikuw jijini Porto nilikaa Siku 5 kwenye semina
Nili observé maisha sio rahisi kwa Hustler,maisha ni magumu alafu vina roho mbaya
Nb
Nina visa ya Schengen naingia nchi zaidi ya 25 without applying a vissa