AhaaHuyu kasikia stori kijiweni kataka kujilipua. nafuraha sana mnampa majibu mazuri. Kule kuna mademu tu hakuna jipya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhaaHuyu kasikia stori kijiweni kataka kujilipua. nafuraha sana mnampa majibu mazuri. Kule kuna mademu tu hakuna jipya
Asante. Jana nilipitia hii juu-juu tu. Leo nimepata taarifa kamili.Itakuwa wanaoshughulika masuala ya Portugal , Tanzania ni ubalozi wa Ufaransa , France
Unaweza kuangalia hii link
![]()
List of diplomatic missions of Tanzania - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Utaratibu upoje, plz share nasi huenda kuna mtu atanufaikaNilisoma kwa Visa ninayoitaka ni lazima niombe nikiwa nchini kwangu.
Nimeshapata utaratibu, asante kwa maoni yako.
Kwa Visa gani?Mkuu vipi uswizi kwa mtu ambaye amewahi kuishi Uingereza
Ni tahadhari kama unajua kitu ambacho kitamsaidia MTU hakuna ubaya kumpa briefMkuu ulichoandika ni historia lakini je kinahusika nini mada hii?
Tuache ujuaji. Mtu anaulizia namna ya kupata visa wewe unaanza kumuambia Ureno ni masikini.
Dah
Uswis kuna maisha kama una connection panafaa sana.Mkuu vipi uswizi kwa mtu ambaye amewahi kuishi Uingereza
Ureno ipo kwenye Shenghen viza, kwahiyo kama mtu ni rahisi kwake kuingilia Ureno hamna mbaya, ile Sheghen viza una kwenda nchi kibao za ulaya kasoro Uingereza tu ambao wana viza ya kwao UK Viza.Huyu kasikia stori kijiweni kataka kujilipua. nafuraha sana mnampa majibu mazuri. Kule kuna mademu tu hakuna jipya
Halafu eti anailinganisha Portugal na South Africa, ila wabongo ujuaji utatupeleka pabaya.Wabongo bhana! Hujui hata anaenda kufanya nini ila hapo hapo unampangia nchi nyingine ili ndio aende!!
Unafahamu unachokiandika kweli?au umesikia vijiweni?unaweza kuilinganisha Portugal na South Africa?Unaenda kutafutana nn Ureno? Moja ya nchi masikini sana barani Ulaya...bora uende Sauz!.
Unaenda kutafutana nn Ureno? Moja ya nchi masikini sana barani Ulaya...bora uende Sauz!.
Fursa inategemea na wewe unaangalia upande gani wa jambo.Ureno kufanya nini ? Kuna fursa gani Huko? Miaka ya karibuni nilikuw jijini Porto nilikaa Siku 5 kwenye semina
Nili observé maisha sio rahisi kwa Hustler,maisha ni magumu alafu vina roho mbaya
Nb
Nina visa ya Schengen naingia nchi zaidi ya 25 without applying a vissa
Labda hujui ulichokiandika, Ureno IPO kwenye European Union na pia Ureno IPO kwenye Shenghen viza, jaribu kuficha ujinga wako, ukiingia Ureno upo huru kwenda German, Italy, France, Belgium, Austria, Spain na nchi zote za ShengenUnaenda kutafutana nn Ureno? Moja ya nchi masikini sana barani Ulaya...bora uende Sauz!.
Mkuu fuata akili yako inavyokutuma usisikilize story za watu ambao hawajawahi kuvuka hata mpaka wa Tanzania, hakuna nchi yoyote hapa Afrika yenye maisha au kipato kizuri kushinda Portugal.Fursa inategemea na wewe unaangalia upande gani wa jambo.
Moja ya fursa iliyopo Portugal ni kwa remote workers.
Mkuu Matola humu kuna watu wanaandika story walizopata vijiweni wakiwa wanakunywa kahawa na kumchambua Mayele wasikusumbue.Labda hujui ulichokiandika, Ureno IPO kwenye European Union na pia Ureno IPO kwenye Shenghen viza, jaribu kuficha ujinga wako, ukiingia Ureno upo huru kwenda German, Italy, France, Belgium, Austria, Spain na nchi zote za Shengen
Ulaya wametuacha mbali mno masikin kwahuko kwao sio kwasie wabongoUnaenda kutafutana nn Ureno? Moja ya nchi masikini sana barani Ulaya...bora uende Sauz!.
Unapitia ubalozi wao wa Mozambique au South Africa, unajaza online kisha utatuma passport kwa DHL.Habari wana-JF. Ningependa kufahamu kwa nchi ambazo hazina balozi hapa nchini (Portugal) ni njia zipi za kufuata kufanya application hasa kwa Visa ambazo inakubidi application ufanyie nchini kwako.
Retirement Visa / Portugal D7 Visa.
Kwa Visa gani?
Unakuta mtu kufungua thd ana milioni 10 anaulizia Gari gani itamfaa kwa hiyo hela? halafu anakuja mtu anamwambia hiyo hela si bora uwekeze.😀😀Halafu eti anailinganisha Portugal na South Africa, ila wabongo ujuaji utatupeleka pabaya.
[emoji16][emoji16]Unakuta mtu kufungua thd ana milioni 10 anaulizia Gari gani itamfaa kwa hiyo hela? halafu anakuja mtu anamwambia hiyo hela si bora uwekeze.[emoji3][emoji3]