Sasa unafikiri anataka kwenda kufanya nn zaidi ya kusaka maisha!.Wabongo bhana! Hujui hata anaenda kufanya nini ila hapo hapo unampangia nchi nyingine ili ndio aende!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unafikiri anataka kwenda kufanya nn zaidi ya kusaka maisha!.Wabongo bhana! Hujui hata anaenda kufanya nini ila hapo hapo unampangia nchi nyingine ili ndio aende!!
Ameomba msaada wa namna ya kupata visa. Wewe unamwambia nchi fulani ni masikini.Ni tahadhari kama unajua kitu ambacho kitamsaidia MTU hakuna ubaya kumpa brief
Wewe shida yako nini? Huko wewe unapoona hapafai kwenda mtu wenzako ndio fursa wanaziona.Hivi mtu anayeomba Visa ya Afghanistan au Somali utamsaidie kweli?au utamtadhalisha
Ndio amekwambia hivyo? au unatumia tu hisia zako?Sasa unafikiri anataka kwenda kufanya nn zaidi ya kusaka maisha!.
Punguza ujuaji jomba,hujui hata mleta mada anaenda kufanya nini ila unabwatuka tu! wewe mbona ulienda kwenye semina? vipi kama na yeye anaenda kwenye semina?Ureno kufanya nini ? Kuna fursa gani Huko? Miaka ya karibuni nilikuw jijini Porto nilikaa Siku 5 kwenye semina
Nili observé maisha sio rahisi kwa Hustler,maisha ni magumu alafu vina roho mbaya
Nb
Nina visa ya Schengen naingia nchi zaidi ya 25 without applying a vissa
Tatizo sijajua ni nini. Ni ujuaji, ujinga, uelewa mdogo, kutafuta sifa kwa watu wasiokujua hata kiukweli sielewi. Kiufupi jamaa karopoka hata hana msaada wakati kama kweli alienda Ureno basi alikuwa katika nafasi nzuri ya kumsaidia mleta mada .Punguza ujuaji jomba,hujui hata mleta mada anaenda kufanya nini ila unabwatuka tu! wewe mbona ulienda kwenye semina? vipi kama na yeye anaenda kwenye semina?
Halafu mleta mada wala hakutaka kujua kama wewe una visa ya Schengen,hiyo haimsaidii kitu,
Muwe mnasoma mada na kuzielewa kwanza.
Kuna Mdogo wangu alipata kazi Afghanistan kabla Wamarekani hawajaondoka, ilikuwa ni contract ya Kujenga upya Afghanistan chini ya ufadhiri wa Marekani.Wewe shida yako nini? Huko wewe unapoona hapafai kwenda mtu wenzako ndio fursa wanaziona.
Shida tuna myopic mids na hatupendi kutoka kwenye comfort zone zetu. Unafikiri huko Afghan hakuna fursa za hela? (Hata kama inatumika kutengeneza Heroin lakini hao ndio wazalishaji wakubwa wa Opium. Hiyo ni fursa.)
So what!? Angola INA mafuta, na Angola imetawaliwa na Ureno.Unajua Ureno inadaiwa na Angola? Yaani ilienda kukopa msaada Angola.
Wewe shida yako nini? Huko wewe unapoona hapafai kwenda mtu wenzako ndio fursa wanaziona.
Shida tuna myopic mids na hatupendi kutoka kwenye comfort zone zetu. Unafikiri huko Afghan hakuna fursa za hela? (Hata kama inatumika kutengeneza Heroin lakini hao ndio wazalishaji wakubwa wa Opium. Hiyo ni fursa.)
Kuna Mdogo wangu alipata kazi Afghanistan kabla Wamarekani hawajaondoka, ilikuwa ni contract ya Kujenga upya Afghanistan chini ya ufadhiri wa Marekani.
Pesa aliyopiga Afghanistan kwa miaka mwili hata aliyepiga kazi ulaya miaka 5 hampati.
Na uzuri wa Afghanistan walikuwa wanakaa camp, maximum security, kula kulala bure kwahiyo pesa yako hutumii chochote mpaka siku unarudi kwenu.
Sasa mkisikia vita ya Urusi na Ukraine umekwisha msilaze damu, kazi zitakuwa Ukraine Kujenga upya nchi ikiyoharibiwa na vita.
Hii ni tip nawapa ukitaka kupiga pesa jipange kwenda Ukraine mwaka 2024 lazima vita itaisha mwaka huu, fursa zipo Ukraine chini ya ufadhili wa NATO.
Huna akili, kuna Mdogo wangu maana yake "among those"[emoji16][emoji16][emoji16]
Mbongo akianza kwa kusema kuna..... Situka
Wewe ni mpumbavu. Unaleta ujuaji tu hapa wakati unajilia magimbi huko Kishimbanzobe.Afghan kuna furusa gani we tutus a
Ukiwa na akili ndogo mtihani
Nchi zote ambazo zina mkono wa Marekani zikimaliza vita ni fursa kubwa.Wewe ni mpumbavu. Unaleta ujuaji tu hapa wakati unajilia magimbi huko Kishimbanzobe.
Sina chakukuelimisha maana akili yako mgando sana. Dr Matola PhD huyu jamaa anaonekana hata exposure hata kidogo, atakupotezea tu muda wako.
Yupo jamaa alipata mchongo akiwa jela Segerea, alifungwa miaka mitatu kwenye story mule gerezani mfungwa mwenzake akamshangaa unakaaje jela kwa asset ambazo anazimiliki halafu issue yake ilikuwa inahitaji pesa tu kuimaliza?Fursa ni mtu kupata connection huko pana jamaa wa Chuga yupo Sudan kusini anapiga pesa ndefu akirudi Chugastan ni kununua maeneo huko kivulini wanakouza heka kwa dollar za kutosha na kujenga hilo deal alipewa akiwa USA ni Fundi wa Truck fikiria mtu katoka USA anapiga pesa Sudan...aliporudi Tanzania ananiuliza jinsi ya kwenda huko nikamwambia nenda Nairobi utapata kila kitu...kwenye kutafuta kiwanja kinaweza kikawa kigumu kwako kwa mwingine mwenye taarifa kikawa rahisi na kinyume chake ndio hivyo hivyo...
Wewe ni mpumbavu. Unaleta ujuaji tu hapa wakati unajilia magimbi huko Kishimbanzobe.
Sina chakukuelimisha maana akili yako mgando sana. Dr Matola PhD huyu jamaa anaonekana hana exposure hata kidogo, atakupotezea tu muda wako.
Huna akili, kuna Mdogo wangu maana yake "among those"
Siwezi kuanza kazi ya kukufundisha kama ulikimbia shule, au wakati wenzako wanasoma Wewe ulikuwa unawawekea wasichana kioo chini ya sketi.
Kwani unajua anaenda kufanya nini?Ni tahadhari kama unajua kitu ambacho kitamsaidia MTU hakuna ubaya kumpa brief