Njia za kupata VISA ya Portugal ni zipi?

Mimi jamaa waliopata deal kubwa wakiwa jela ni wengi nikiandika wataona nawatangaza...
 
Ushauri wake sio wa kupuuza! Ureno ni pagumu kwasababu miaka ya ya 2010 nchi ni km ilifilisika

Ndio maana kwa kubeba boksi ureno sio nchi ya uhakika

Sema mnadanganyana sijui afghanistan unatoboa [emoji16]
Kwani unajua anaenda kufanya nini?
 
Ni vyema ungemuelekeza kile alichouliza kuliko kuandika porojo zisizokuwa na maana.
 
Kwanini usimuelekeze kile anachohitaji??
 
Bro humu wajuaji wengi sana lakini hajawahi hata kuvuka mkoa aliozaliwa anasikilizaga story za mitandaoni tu.
 
Ushauri wake sio wa kupuuza! Ureno ni pagumu kwasababu miaka ya ya 2010 nchi ni km ilifilisika

Ndio maana kwa kubeba boksi ureno sio nchi ya uhakika

Sema mnadanganyana sijui afghanistan unatoboa [emoji16]
Nimekuuliza kingine unajibu kingine. Ngoja nikuulize swali la ziada, hivi kichwani mwako zipo timamu?
 
Sasa wewe kutoka moshi na kwenda arusha umevuka mkoa?[emoji16]

Baadhi ya vijana wa arusha mnaaibisha arusha waonekane wote wajinga

Bro humu wajuaji wengi sana lakini hajawahi hata kuvuka mkoa aliozaliwa anasikilizaga story za mitandaoni tu.
 
Ushauri wake sio wa kupuuza! Ureno ni pagumu kwasababu miaka ya ya 2010 nchi ni km ilifilisika

Ndio maana kwa kubeba boksi ureno sio nchi ya uhakika

Sema mnadanganyana sijui afghanistan unatoboa [emoji16]
Unajidhalilisha sana na kujichoresha sana, unajaribu kuonesha watu kuna unachojuwa kumbe hujui lolote empty set.

Ulaya nchi iliyofirisika ni Greece au Ugiriki, jaribu kuficha upumbavu wako.
 
Nisingekuwa timamu bikubwa wako angenipa?
Wataalamu wanasema ukiona mtu anaongelea vibaya kwa kusingizia mama wa wenzie asiyewajua, basi anaelezea tabia za mama yake halisi ambazo amezichoka na kuamua kutema nyongo kinamna hiyo ili moyoni awe huru. Ila umekosea sana kuanika maovu ya mzazi wako, hata akiwa na dhambi sawa na shetani unatakiwa umstiri tu maana hakukutupa alikulea hivyohivyo kwa upendo.
 
Ureno ni makapuku tu ule weupe ndo unawapa jeuri
 
Point taken
 
Hujajibu swala langu bwana makame au unataka nimuache ukose mzazi mlezi
 
Hujajibu swala langu bwana makame au unataka nimuache ukose mzazi mlezi
Kumbe alikwambia hivyo huyo jamaa anayekuharibia mzazi, inaonekana ndiyo analea familia yenu yote. Dogo endelea kuvumilia tu usije kugombana na mzazi wako ukafukuzwa nyumbani na huna pa kwenda. Mimi kama mkubwa wako nakushauri hivyo
 
Nimekuuliza hutaki niendelee kuwa baba mlezi?
Kumbe alikwambia hivyo huyo jamaa anayekuharibia mzazi, inaonekana ndiyo analea familia yenu yote. Dogo endelea kuvumilia tu usije kugombana na mzazi wako ukafukuzwa nyumbani na huna pa kwenda. Mimi kama mkubwa wako nakushauri hivyo
 
Halafu eti anailinganisha Portugal na South Africa, ila wabongo ujuaji utatupeleka pabaya.
Hivi ni ujuaji pana dogo mmoja alipata Visa ya Spain alitoka SA baadae akiwasiliana na watu wakawa wanamwambia bora arudi SA nilipokutana nae nikamwabia usiwasikilize hao wahuni nenda huko yupo Barcelona anakula maisha huko wakati SA alikua anaunga unga tuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…