akohi
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 787
- 526
Kwanza kabisa anza na kuchimba na kujengea mashimo ya choo. Hii itasaidia ule udongo au mawe uyajaze ndani ya msingi wa nyumba na kama ni sehemu ya mchanga basi utatumia ule mchanga kufyatulia tofari.
Huna haja ya kununua mbao ambazo ni treated maana siku hizi zinachakachuliwa na zaidi zinapakwa rangi tu wala hawazitreat unless uagize toka kiwandani direct, cha kufanya nunua mbao za kawaida then nunua mafuta ya diesel na weka vijana wape na brush wazipake mafuta, i guarantee hakuna mdudu atasogea.
Pia wakati wa kununua mbao usikubali wakupimie kwa futi zao maana nyingi zimekatwa urefu na kuungwa mf futi inaurefu wa mita ishirini basi wanakata katikati lets say toka mita nne mpaka kumi so wewe utaona mita ishirini kumbe umeuziwa mita kumi na tu. So kubali kuingia gharama ya kununua futi.
Pia sio lazima kila ujenzi uchimbe msingi mrefu la hasha maana kama eneo lako ni mawe au miamba sasa unachimba nini? Ila kama eneo lako ni tifutifu au mfinyanzi au kichanga basi shart wachimbe msingi mrefu.
Hakikisha unapoanza ujenzi uwe na mtu wako au mke au mme au ndg yako atakaye simamia other wise utalaumiana na wajenzi tu hasa kwenye materials.
Zaidi jenga mazingira ya wewe mwenyewe kwenda kununua au kulipia materials usimpe fundi hela, japo baadhi ni waaminifu.
Kubaliana na fundi kazi yote lakin mlipe kwa piece work na usikubari wewe ndo umdai...atakimbia tu.
Na mwisho tujifunze kuto copy na kupaste ramani za nyumba. Mf nyumba nyingi zina milango miwili. Why? Kwanini nikitaka kwenda nyuma nipite jikon? Kwanin kila mgen afikie sebureni moja kwa moja?
Na huwa sielewi most of houses zina ka balcon pale mbele yaana over 90% za nyumba na unakuta sitting room pia hapo hapo mbaya zaidi piga ua utakuta nyumba ina vyumba vitatu lakin viwili tu ndo vinamadirisha mawili kingine dirisha moja tu...why? Inamaana uwezo wetu wa kufikiria ndo umeishia hapo...laa hasha tatizo tulilonalo na ku copy na ku paste.
Maana utakuta nyumba nyingi hazitumii mlango wa mbele sababu ya poor deaigning na pia wakati wa jua kali wala sebureni hapatamaniki kukaa.
Pandeni miti ya kutosha majumbani kwenu.
alfred.kohi@kcd.co.tz
Wengine ongezeeni....
Huna haja ya kununua mbao ambazo ni treated maana siku hizi zinachakachuliwa na zaidi zinapakwa rangi tu wala hawazitreat unless uagize toka kiwandani direct, cha kufanya nunua mbao za kawaida then nunua mafuta ya diesel na weka vijana wape na brush wazipake mafuta, i guarantee hakuna mdudu atasogea.
Pia wakati wa kununua mbao usikubali wakupimie kwa futi zao maana nyingi zimekatwa urefu na kuungwa mf futi inaurefu wa mita ishirini basi wanakata katikati lets say toka mita nne mpaka kumi so wewe utaona mita ishirini kumbe umeuziwa mita kumi na tu. So kubali kuingia gharama ya kununua futi.
Pia sio lazima kila ujenzi uchimbe msingi mrefu la hasha maana kama eneo lako ni mawe au miamba sasa unachimba nini? Ila kama eneo lako ni tifutifu au mfinyanzi au kichanga basi shart wachimbe msingi mrefu.
Hakikisha unapoanza ujenzi uwe na mtu wako au mke au mme au ndg yako atakaye simamia other wise utalaumiana na wajenzi tu hasa kwenye materials.
Zaidi jenga mazingira ya wewe mwenyewe kwenda kununua au kulipia materials usimpe fundi hela, japo baadhi ni waaminifu.
Kubaliana na fundi kazi yote lakin mlipe kwa piece work na usikubari wewe ndo umdai...atakimbia tu.
Na mwisho tujifunze kuto copy na kupaste ramani za nyumba. Mf nyumba nyingi zina milango miwili. Why? Kwanini nikitaka kwenda nyuma nipite jikon? Kwanin kila mgen afikie sebureni moja kwa moja?
Na huwa sielewi most of houses zina ka balcon pale mbele yaana over 90% za nyumba na unakuta sitting room pia hapo hapo mbaya zaidi piga ua utakuta nyumba ina vyumba vitatu lakin viwili tu ndo vinamadirisha mawili kingine dirisha moja tu...why? Inamaana uwezo wetu wa kufikiria ndo umeishia hapo...laa hasha tatizo tulilonalo na ku copy na ku paste.
Maana utakuta nyumba nyingi hazitumii mlango wa mbele sababu ya poor deaigning na pia wakati wa jua kali wala sebureni hapatamaniki kukaa.
Pandeni miti ya kutosha majumbani kwenu.
alfred.kohi@kcd.co.tz
Wengine ongezeeni....