Njia za kupunguza gharama za ujenzi wa nyumba

Njia za kupunguza gharama za ujenzi wa nyumba

Huu ni uchambuzi wa ujenzi wa kilocal sana,nyumba kama nyumba ujenzi wake husimamiwa na injinia mwanzo mwisho,hiyo ujenzi kusimamia mke wako labda unajenga kibanda cha mama lishe.

Wabongo bhana kwa kujikweza tupo vizuri sana.
Ni nyumba ngapi za kuishi zinasimamiwa na mainjinia katika mazingira yako??????

Asilimia 81 ya watanzania ni watu wa kipato cha chini.
Sasa mtoa maada amewalenga watanzania wa kawaida wewe unaleta pumba zako ili members humu waone wewe na ndugu zako mnajenga kwa kutumia wahandisi,,,,,????????
 
Namsema huyo jamaa anaetaka injinia unaweza kuta hana hata kiwanja wala mti wa mpera town

Ooh sawa kabisa na gari anapark ccm, au ndo wale watoto wamama maana mtu mzima tena muhangaikaji hawezi kukejeri namna yoyote ile ya kupunguza au ku save matumizi hasa ktk ujenzi
 
Ooh sawa kabisa na gari anapark ccm, au ndo wale watoto wamama maana mtu mzima tena muhangaikaji hawezi kukejeri namna yoyote ile ya kupunguza au ku save matumizi hasa ktk ujenzi

Binafsi nina ushahidi wa mimi mwenyewe kusimamia ujenzi wangu kitu kilichonisaidia sana na kunipunguzia gharama,huyu ndugu tumuache tu inawezekana kazaliwa oshen road na mpaka sasa anaishi Mbezi labda,haijui njaa,muacheni tu
 
Sema lini unataka kuja kwangu kigamboni ili ujifunze na uone ninachokiongea

Moja, hivi wood flooring na tiles za mchina ni ipi bora na rahisi? pili, kuna umuhimu/faida gani ya kutumia gypsum plaster badala ya ile plaster ya chokaa na cement?
 
Sio kweli bana,nyumba za kuishi hapa Africa mzima ni za kawaida ambazo unaweza jenga kwa kusimamia wewe mwenyewe au nduguyo au mkeo,swala la kuweka injinia wa ujenzi wa nyumba ya kuishi ni la watu wachache sana wenye uwezo kifedha,watu wengi town na nje ya town tunawaona pindi wanapojenga na uwezo wao,ataanzia wapi kumlipa injinia wakati malipo yake tu ni boma limenyanyuka,by the way unajua vyema japo unajaribu kujikweza

Hapo ndo tunapokosea watanzania,
Kwako wewe nyumba ya kawaida ni ipi?
Unapompeleka site mke wako asie na ujuzi wa chochote kuhusu ujenzi ina maana gani?
Huyo haendi kusimamia ujenzi bali anaenda kumlinda fundi asiibe matirial yako ya kubangaiza.
 
Hapo ndo tunapokosea watanzania,
Kwako wewe nyumba ya kawaida ni ipi?
Unapompeleka site mke wako asie na ujuzi wa chochote kuhusu ujenzi ina maana gani?
Huyo haendi kusimamia ujenzi bali anaenda kumlinda fundi asiibe matirial yako ya kubangaiza.

Hata unapoishi unaweza kua umepanga wewe na nyumba imejengwa kwa kumtegemea fundi akisimamiwa na mwenye nyumba mwenyewe,msijifanye hamuijui Tanzania na Africa nzima juu ya hilo,kujikweza kwa nn?!
 
Mleta mada katuelemisha wengi - ndio missing ya na lengo la JF. Watantania zaidi ya 90% wanajenga nyumba zao wenyewe kwa njia iliotajawa bila ya mainjinia au consultants an contactors - kwa hiyo wengi wanafaidika na ushauri kama huu. asante mleta mada.
 
Hata unapoishi unaweza kua umepanga wewe na nyumba imejengwa kwa kumtegemea fundi akisimamiwa na mwenye nyumba mwenyewe,msijifanye hamuijui Tanzania na Africa nzima juu ya hilo,kujikweza kwa nn?!

Ndo maana kuna vyuo vya kufundisha mainjinia kwa akili yako wale wakafanye kazi wapi? Wewe unasimamia fundi wakati hujui ufundi ina maana gani?
Hata huyo mleta mada unaemsapoti anasema chimba shimo upate mchanga wa kujengea,hivi kweli hapo kuna ujenzi wa nyumba kweli? Ktk ujenzi kila kitu lazima kiende na vipimo
1.aina ya udongo ktk site
2.msingi ueje kulingana na aina ya udongo
3.mchana uwe namba ngapi
4.kokoto ziwe namba ngapi
5.maji yawe na madini gani
6.n.k nakadhalika
 
Ndo maana kuna vyuo vya kufundisha mainjinia kwa akili yako wale wakafanye kazi wapi? Wewe unasimamia fundi wakati hujui ufundi ina maana gani?
Hata huyo mleta mada unaemsapoti anasema chimba shimo upate mchanga wa kujengea,hivi kweli hapo kuna ujenzi wa nyumba kweli? Ktk ujenzi kila kitu lazima kiende na vipimo
1.aina ya udongo ktk site
2.msingi ueje kulingana na aina ya udongo
3.mchana uwe namba ngapi
4.kokoto ziwe namba ngapi
5.maji yawe na madini gani
6.n.k nakadhalika

Binafsi nimeshakuelewa tatizo lako ngoja nikuache,nadhani unaishi Las Vegas,kwa ujumla unachosema usidhani hatujui,tunajua sana isipokua maisha ya uwezo kifedha kwa mtanzania na hatua anazochukua kupata nyumba ya kuishi unajulikana na hata wewe hapo unajua na haujawahi kuona hizo nyumba zinadondoka na watu wanaishi,ila zinazodondoka ni zile zinazosimamiwa na mainjinia na mifano tunayo,ila kwa kua unajifanya we kiwanja ngoja nikuache
 
Sio kweli bana,nyumba za kuishi hapa Africa mzima ni za kawaida ambazo unaweza jenga kwa kusimamia wewe mwenyewe au nduguyo au mkeo,swala la kuweka injinia wa ujenzi wa nyumba ya kuishi ni la watu wachache sana wenye uwezo kifedha,watu wengi town na nje ya town tunawaona pindi wanapojenga na uwezo wao,ataanzia wapi kumlipa injinia wakati malipo yake tu ni boma limenyanyuka,by the way unajua vyema japo unajaribu kujikweza

hahahaa, anatafuta kazi huyo. nyumba yangu kama siyo kubwa ya kibiashara siwezi kumpa dalali anayejiita engeneer hata siku moja, sanasana natafuta kijana mmoja ambaye amemaliza chuo mwaka jana au bado yuko chuoni namtoa kishakji anasimamia, usawa wenyewe huu....nani kasema!
 
Sema lini unataka kuja kwangu kigamboni ili ujifunze na uone ninachokiongea

Mimi nina ugomvi na corridor! sipendi corridor kabisa!! Unajengeje nyumba ya kukaa wewe unaweka corridor kama gesti? Nina nyumba 2 zote hakuna corridor.
Ila kuna design moja nataka nijenge nikiwa na pesa itakua nzuri maana sijui kwanini nyumba ziwa na madirisha kati, paa la triangle na kadhalika. Nataka kama yai hivi linalokua linatoka kwa kuku! Anyways wengi hawataelewa.

Hela zangu, kiwanja changu, bado nimuige mwingine?
 
Safi sana Nyamgluu hii ndo maana na lengo la kuanzisha huu uzi ili tupeane ideas,
Nakubariana na swala la corridor na paa ila sujaelewa hapo kwenye madirisha kuwa kati, pls fafanua.

Mimi jikon kwangu hakutunzwi chochote mf masufuria, chumvi, etc kila kitu kinakaa stoo ambayo iko jiran na jiko na jikon panabaki majiko tu. So vitu vinatolewa stoo wakat vinahitajika na kurudishwa stoo vinapokuwa havitumiki, that means jiko muda wote halina chombo na ni safi

Pia nimeweka balcon mbele ya nyumba ambayo inatosha ku accomodate sub sitting na sub dinning ndogo maana sitaki kila mgeni aingie main sebure au dining kuu. So pale mbele pana set za viti na meza kama ilivyo sutting na dining. Kwa hiyo kuna sitting rooms mbili na dinning rooms mbili.

Pia nikaweka milango ya kutoka njee iko minne.
1.Mmoja uko jikon
2.Mwingine unakutoa nje upande wa kushoto
3.Watatu unakutoa nje upande wa nyuma mkabara na main door
4.Plus main door

Halafu sikuweka mbwembe lakin almost zaidi ya nusu ya ukuta wa dinning ni grili tu ili kupata mwanga na hewa, kesho ntaweka picha.

Pia sitaki kwangu itumike extensions za umeme, so nimeweka sockets za kutosha kwa maana kwamba kila kitu kichomekwe ukutani na zaidi nimeweka system mbili tofaut za umeme kwa kila kitu...taa na sockets yaan zipo zenye umeme wa solar na zipo za tanesco
 
Mimi nina ugomvi na corridor! sipendi corridor kabisa!! Unajengeje nyumba ya kukaa wewe unaweka corridor kama gesti? Nina nyumba 2 zote hakuna corridor.
Ila kuna design moja nataka nijenge nikiwa na pesa itakua nzuri maana sijui kwanini nyumba ziwa na madirisha kati, paa la triangle na kadhalika. Nataka kama yai hivi linalokua linatoka kwa kuku! Anyways wengi hawataelewa.

Hela zangu, kiwanja changu, bado nimuige mwingine?

Hahhahah nimekuelewa.
 
Niliipenda sana heading lakini kumbe iko tofauti na inavosomeka, nilitegemea nitapata mbinu mbadala za kukwepa gharama za ujenzi, kumbe ni maelekezo jinsi ya kujenga!
 
Niliipenda sana heading lakini kumbe iko tofauti na inavosomeka, nilitegemea nitapata mbinu mbadala za kukwepa gharama za ujenzi, kumbe ni maelekezo jinsi ya kujenga!

Hiyo ndo idea ya huu uzi,
mimi nimeweka zangu kulingana na uzoefu na nyie muongeze zenu namna ya kusave cost.
hili la namna ya kudesign limeingia by the way tu
 
Hiyo ndo idea ya huu uzi,
mimi nimeweka zangu kulingana na uzoefu na nyie muongeze zenu namna ya kusave cost.
hili la namna ya kudesign limeingia by the way tu

Umesomeka mkuu, but next time try to explain clearly how to minimize the building cost in terms of... aina ya fundi wa ujenzi, aina ya vifaa vya ujenzi, nikiwa na maana kuwa kuna vifaa vengine vinatumika kama sifa tu ionekane umejenga nyumba ya gharama kumbe havina umuhimu wowote ule. and so forth......
 
Mkuu kwenye kupima mbao kwa kutumia 'kipima' chako mwenyewe nimeipenda sana! Kama mara mbili hv tumepigwa mwenge,mara ya kwanza alienda fundi akaja na mbao futi pungufu,tukajua ametupiga. Tukaenda nae kununua zingine, dah nikawa nao jicho jicho kusoma,kufika site tukajikuta tumepigwa tena!
Kumbe 'kipima' chao kimekatwa na kuungwa kati!
Watu ni mafisadi!
 
Mimi pia nilipigwa sana kwenye mbao na bati wakati wa ununuzi maana sikuwa najua ile know how ya vipimo ila nakiri kuwa site sijaibiwa maana ili ujenzi uendelee ililazim either mimi au wife awepo so tuliwabana sana mafundi kiasi kwamba wakawa wananong'ona pembeni, "boss kichomi" hahaha
 
Back
Top Bottom