Njia za kupunguza gharama za ujenzi wa nyumba

Njia za kupunguza gharama za ujenzi wa nyumba

Musidharau udongo au mawe au mchanga unaotoka kwenye mashimo ya choo maana wengi wetu tunakosea sana hapo.
Utakuta mtu kesha maliza ujenzi wa jengo ndo anachimba kisima sasa inamlazim atafute lory kusomba kifusi wakati kama angeanza na shimo basi kile kifusi kingetumika kujaza ndani ya msingi. Mf mimi toka nianze ujenzi sikuwahi kusomba kifusi maana shimo la choo lenye upana futi 12 na urefu wa futi 15 liliweza kujaza msingi na uzuri ardhi ya hapa kwangu ni mawe tupu so sikupata taabu kununua mawe wala kifusi.
 
Kwa wale wenye ardhi ya kichanga basi mchanga utakao tolewa shimoni ndo utaanza nao kwenye ujenzi na wengine unakuta anapata bahati ya maji pia so unauwa ndege wawili kwa jiwe moja
 
Kwa wale wenye ardhi ya kichanga basi mchanga utakao tolewa shimoni ndo utaanza nao kwenye ujenzi na wengine unakuta anapata bahati ya maji pia so unauwa ndege wawili kwa jiwe moja

Thanks kwa kutupa huu ujanja. Ni muhimu sana Kwetu tunao plan kuanza ujenzi.
 
Huu ni uchambuzi wa ujenzi wa kilocal sana,nyumba kama nyumba ujenzi wake husimamiwa na injinia mwanzo mwisho,hiyo ujenzi kusimamia mke wako labda unajenga kibanda cha mama lishe.

Elewa vizuri anachomaanisha mwenzio a cha kukurupuka
 
Musidharau udongo au mawe au mchanga unaotoka kwenye mashimo ya choo maana wengi wetu tunakosea sana hapo.
Utakuta mtu kesha maliza ujenzi wa jengo ndo anachimba kisima sasa inamlazim atafute lory kusomba kifusi wakati kama angeanza na shimo basi kile kifusi kingetumika kujaza ndani ya msingi. Mf mimi toka nianze ujenzi sikuwahi kusomba kifusi maana shimo la choo lenye upana 12m na urefu wa 15m liliweza kujaza msingi na uzuri ardhi ya hapa kwangu ni mawe tupu so sikupata taabu kununua mawe wala kifusi.

shimo la 12m x 15m? kwa wengine hiki kiwanja cha kutosha ujenzi wa bungalow
 
Safi sana Nyamgluu hii ndo maana na lengo la kuanzisha huu uzi ili tupeane ideas,
Nakubariana na swala la corridor na paa ila sujaelewa hapo kwenye madirisha kuwa kati, pls fafanua.

Mimi jikon kwangu hakutunzwi chochote mf masufuria, chumvi, etc kila kitu kinakaa stoo ambayo iko jiran na jiko na jikon panabaki majiko tu. So vitu vinatolewa stoo wakat vinahitajika na kurudishwa stoo vinapokuwa havitumiki, that means jiko muda wote halina chombo na ni safi

Pia nimeweka balcon mbele ya nyumba ambayo inatosha ku accomodate sub sitting na sub dinning ndogo maana sitaki kila mgeni aingie main sebure au dining kuu. So pale mbele pana set za viti na meza kama ilivyo sutting na dining. Kwa hiyo kuna sitting rooms mbili na dinning rooms mbili.

Pia nikaweka milango ya kutoka njee iko minne.
1.Mmoja uko jikon
2.Mwingine unakutoa nje upande wa kushoto
3.Watatu unakutoa nje upande wa nyuma mkabara na main door
4.Plus main door

Halafu sikuweka mbwembe lakin almost zaidi ya nusu ya ukuta wa dinning ni grili tu ili kupata mwanga na hewa, kesho ntaweka picha.

Pia sitaki kwangu itumike extensions za umeme, so nimeweka sockets za kutosha kwa maana kwamba kila kitu kichomekwe ukutani na zaidi nimeweka system mbili tofaut za umeme kwa kila kitu...taa na sockets yaan zipo zenye umeme wa solar na zipo za tanesco

Nimekuelewa nita copy na kumodifying idea yako ili nitoe kitu cha maana big up
 
Huu ni uchambuzi wa ujenzi wa kilocal sana,nyumba kama nyumba ujenzi wake husimamiwa na injinia mwanzo mwisho,hiyo ujenzi kusimamia mke wako labda unajenga kibanda cha mama lishe.

Si wote tuna uwezo wa kuajiri mainjinia wa kusimamia ujenzi. Alichokizungumzia mleta mada ni practical zaidi katika ufanikishaji wa shughuli. Wala mainjinia si mwarobaini wa kufanikisha ujenzi bora; mbona tumeshaona miradi mbalimbali ikiwemo ya ujenzi wa majumba, barabara, madaraja na hata mabwawa yakisambaratika hata kabla ya kukamilishwa wakati yakisimamiwa na hao mainjinia mnaowaita wasomi?
 
Ndo maana kuna vyuo vya kufundisha mainjinia kwa akili yako wale wakafanye kazi wapi? Wewe unasimamia fundi wakati hujui ufundi ina maana gani?
Hata huyo mleta mada unaemsapoti anasema chimba shimo upate mchanga wa kujengea,hivi kweli hapo kuna ujenzi wa nyumba kweli? Ktk ujenzi kila kitu lazima kiende na vipimo
1.aina ya udongo ktk site
2.msingi ueje kulingana na aina ya udongo
3.mchana uwe namba ngapi
4.kokoto ziwe namba ngapi
5.maji yawe na madini gani
6.n.k nakadhalika

Kukariri kwingi ndo maana kila mkijenga yanawaporomokea.
 
Huyo anataka nyumba ya gharama kubwa, eti engr ???
Usisahau kuvuta maji kwanza usinunue maji ni gharama ya ziada!!!
 
Huyo anataka nyumba ya gharama kubwa, eti engr ???
Usisahau kuvuta maji kwanza usinunue maji ni gharama ya ziada!!!

Duh hili muhim sana wakuu, maji ndo kila kitu tena ikiwezekana aanza na kuchimba kisima kabisa ndo utajenga kwa amani.
Asante sana Mtumishi kwa kuongezea.

Jamani fungukeni.
 
Moja, hivi wood flooring na tiles za mchina ni ipi bora na rahisi? pili, kuna umuhimu/faida gani ya kutumia gypsum plaster badala ya ile plaster ya chokaa na cement?

Tiles lazima zitakuwa cheap, wood flooring ni mbadala wa tiles kwa sababu ya baridi mf mikoa au nchi za baridi ukiweka tiles zitapata baridi kias huwez hata kukanyaga na zitakuwa muda wote zina unyevunyevu mf Iringa, Arusha etc nd hapo ndo unashauriwa uweke wood floor maana mbao hazipat unyevunyevu ambao unaweza kuleta usumbufu.

Gypsum watakuja wengine wenye uelewa ila najua unapotumia white cement ni mbadala wa rangi hasa nje.

Ngoja wataalam waje.
 
Ndo maana kuna vyuo vya kufundisha mainjinia kwa akili yako wale wakafanye kazi wapi? Wewe unasimamia fundi wakati hujui ufundi ina maana gani?
Hata huyo mleta mada unaemsapoti anasema chimba shimo upate mchanga wa kujengea,hivi kweli hapo kuna ujenzi wa nyumba kweli? Ktk ujenzi kila kitu lazima kiende na vipimo
1.aina ya udongo ktk site
2.msingi ueje kulingana na aina ya udongo
3.mchana uwe namba ngapi
4.kokoto ziwe namba ngapi
5.maji yawe na madini gani
6.n.k nakadhalika
Hizi zote ni nadharia tu......uhalisia unabaki palepale kuwa nyumba nyingi watu wanazoishi wamejenga bila usimamizi wa injinia na nyumba ni bora nyingine zimeshakaa 40 years bila hata crack!
 
Naunga hoja mkono nimejifunza mawili matatu. Hasa pale unaposema uanze na mashimo ya choo. Ni kweli shimo udogo kwa maeneo ambayo maji mi tatizo unaweza pia ikatumika kuhifadhia maji kwa ajili ya ujenzi.
 
Itakua ni shimo la swimming pool,kama ni choo basi ni choo cha kata.

Makamee i guess some thing is not right to you upstairs.

Kama hujui sio lazima uchangie.

We ndo wale umerithi kila kitu hata bei ya kiwanja, tofari, cement hujui, na huna kitu tangible cha kujivunia kama mpambananaji.

Niliamua kuchimba shimo la choo kubwa ili kwanza niachane na karaha ya kila mwezi au miwili unaleta gari la kufyonza uchafu maana shimo limejaa, pili ili nipate mawe na kifusi cha kutosha.
Na kulijenga hilo shimo ililazim tuweke concrete beam toka chini then juu tuka suka beam zungine mbili kwa umbo la alama ya kujumilisha, mwisho ndo tukamwaga zege la kufunika eneo lote.

Unqposema choo cha kata ndo umedhirisha kwa 100% ya ku copy na ku paste vitu, mpaka leo huwa sielewi kwanini watu tuna standise ukubwa wa mashimo ya vyoo? Why? Na ndo maana kila kukicha vinajaa na inakuwa kero.

Mimi kwa ujenzi wangu mambi mengi niliamua kurekebisha makosa ya wengi.
 
Makame Kweli wewe ni Mtz??
Mipango yako tuu, case study tayari boma litakuwa limepanda!
Huyo injinia anatafuta mafundi wa mitaani kujenga, tumia akili!!
Hapa Babati milioni tatu inafanya kazi kubwa sana!!
 
Last edited by a moderator:
Naunga hoja mkono nimejifunza mawili matatu. Hasa pale unaposema uanze na mashimo ya choo. Ni kweli shimo udogo kwa maeneo ambayo maji mi tatizo unaweza pia ikatumika kuhifadhia maji kwa ajili ya ujenzi.

Haya mambo ya kukurupukia ujenzi ili ukimbie kodi za nyumba za kupanga ndo shida.
Hivi unajua ipi athari ya kutumia maji yasio pimwa ktk ujenzi? Hasa hayo maji ya kisima hayafai kabisa ndo maana hizo mnazoita nyumba zenu zinabanduka rangi na kwakua maji yana magadi pia yanakula tofali nyumba inapukutika kama ina ukurutu.
 
Back
Top Bottom