Safi sana Nyamgluu hii ndo maana na lengo la kuanzisha huu uzi ili tupeane ideas,
Nakubariana na swala la corridor na paa ila sujaelewa hapo kwenye madirisha kuwa kati, pls fafanua.
Mimi jikon kwangu hakutunzwi chochote mf masufuria, chumvi, etc kila kitu kinakaa stoo ambayo iko jiran na jiko na jikon panabaki majiko tu. So vitu vinatolewa stoo wakat vinahitajika na kurudishwa stoo vinapokuwa havitumiki, that means jiko muda wote halina chombo na ni safi
Pia nimeweka balcon mbele ya nyumba ambayo inatosha ku accomodate sub sitting na sub dinning ndogo maana sitaki kila mgeni aingie main sebure au dining kuu. So pale mbele pana set za viti na meza kama ilivyo sutting na dining. Kwa hiyo kuna sitting rooms mbili na dinning rooms mbili.
Pia nikaweka milango ya kutoka njee iko minne.
1.Mmoja uko jikon
2.Mwingine unakutoa nje upande wa kushoto
3.Watatu unakutoa nje upande wa nyuma mkabara na main door
4.Plus main door
Halafu sikuweka mbwembe lakin almost zaidi ya nusu ya ukuta wa dinning ni grili tu ili kupata mwanga na hewa, kesho ntaweka picha.
Pia sitaki kwangu itumike extensions za umeme, so nimeweka sockets za kutosha kwa maana kwamba kila kitu kichomekwe ukutani na zaidi nimeweka system mbili tofaut za umeme kwa kila kitu...taa na sockets yaan zipo zenye umeme wa solar na zipo za tanesco