silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,278
- 1,794
wakati wote unatakiwa kumkumbuka MunguAisee unajua tunasikiaga watu wanajiua tunawaona wajinga sana ila ukweli labda sababu hayajatufikia.
Tuombeane aisee hivi depression inaweza kutoka kwa njia zipi. Unajaribu kulala havilaliki, washa TV huelewi unachoangalia, unaweka mziki unaona kama kelele. Yani vururu vururu nimelia wee usku kucha mpaka macho yamevimba.
No shoulder to cry on, no one to sit pemben yako akakusikiliza na kukufariji.
Nyie aisee tuombeane its hard.
Thank you dear. Ubarikiwe msg yako imenigusa mnoNimewahi kuwa kwenye situation kama yako, nilikuwa nina mengi yananisumbua at once yaani ile mengi haswaa, kilichonisaidia ni hakukuwa na kidonge hata kimoja humo ndani maana ndiyo hatua niliyokuwa nimefikia..!!
Niamini girlie, utavuka hapo na kila kitu kitakuwa sawa kabisa, sikuya-solve yote wala, ila I thank God kuwa time heals very quickly, sahii hata nikipitia changamoto lakini huwa sifikirii yale maamuzi tena..!!
Just talk to someone you trust, usimfiche kitu muambie ukweli wa kila kitu huwa inasaidia sana sana.!
Kubwa zaidi talk to God, talk to Him like you're talking to your very closest friend, huwa ninamuambia kila kitu mpaka nazima huko huko usingizini kwa kilio, hayatatulika at once ila mzigo utapungua na utashangaa one after another hayo matatizo yanatafuta njia ya kupungua kwenye maisha yako..!!
Nikipata nafasi ya kuwa na furaha huwa siichezei, I know how it really feels to not have one..!
Wishing you the best new gal ❤️❤️
Shangazii emu niwachee kwanii, unajua mambo hayaa bhanaa, oooh.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama daktar mwenyew ndio wew mgonjwa kazi anayo
😂😂😂Shangazii emu niwachee kwanii, unajua mambo hayaa bhanaa, oooh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuh polee rafikii, tafutaa mtu uongee nae uteme sumuu.Ishu inahusiana na familia nikiongea tu kuna watu wataelewa sio kwamba sipend kuweka wazi
Kama umepata matatz meng kwa wakat mmoja unaiterm kama ugonjwa? Tena wa akili. Anyway may be wataalam ndo jinsi mnaiona. Nnachojua siumwi ugonjwa uliosema. Na ndo maana napambana kusort kuwa normal. Shukran thoughKama hujui depression ni dalili za ugonjwa wa akili afya YAKO ya akili INGEKUWA timamu usingesema kwenye thread yako "USIONE WATU WANAJIUA"SASA ENDELEA KUBISHA ILA YOU THAT PROBLEM NA NAKUSHAURI UENDE HOSPITAL UGONJWA WA AKILI NI KAMA UGONJWA MWINGINE TU NA SI UKICHAA WALA NINI NDIO MAANA NAKUSHAURI IVYO ,UKIAMUA. FUATA USHAURI UKIONA HAUKUFAI SAWA
Asante rafkDuuh polee rafikii, tafutaa mtu uongee nae uteme sumuu.
Thank you babesPole mom, same situation here..i know what you are going through😔
Punguza matarajio kutoka kwa watu na kusikiliza matarajio yao juu yako. Ikiwa umri unakutupa mkono (kwa mtazamo wa familia yako au pengine unadhani hivyo) jipe matumaini wakati wako bado na biidhnillah utafika wakati wako.Yes hapa najisikia maumivu makali ya kichwa
Wee hujawahi kutwaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Home sinzaUko wapi?
Hili la mwisho ndo huwa sifanyi. Ntaenda hata saloon nkae hapoPunguza matarajio kutoka kwa watu na kusikiliza matarajio yao juu yako. Ikiwa umri unakutupa mkono (kwa mtazamo wa familia yako au pengine unadhani hivyo) jipe matumaini wakati wako bado na biidhnillah utafika wakati wako.
Unapofanya ibada, muombe Allah Akujaalia muongozo, kuridhika/kujizuia na kutosheka.
Pili badili mazingira angalau kwa masaa machache kwa kila siku na jitahidi kukaa na watu wanaochangamka muda wingi.
I wish niku PM tuongee ila nashindwa mamiThank you babes
Situation imetokea jana. Leo ndo yakaja makubwa zaidHiyo hali ume-experience kwa muda gani??
wengine ndio life letu hilo,tumezoea hivo na siku tukikutana na hali ya furaha ina bidi tuwe makini kuona ikiwa kweli ni furaha au ni mtego.
Watoto wadogo tu lakini tayari tuna makovu yasiyopona.
Ndio maisha,sio lazima wote tucheke kila siku.
Yap ndio mtu ANAWEZA akawa kafiwa ,kaachana na mpenzi wake akawa depressed (mood disorder) ila mwingine anaweza akapitia shida kama izo.juu na asiwe depressed dhumuni langu ni ukaonane na psychologists au psychiatric ukamueleze what makes u depressed ili akusaidie kuliko wengine wanakushauri ukafanye mapenzi all in all is up to you , nimemaliza advice.Kama umepata matatz meng kwa wakat mmoja unaiterm kama ugonjwa? Tena wa akili. Anyway may be wataalam ndo jinsi mnaiona. Nnachojua siumwi ugonjwa uliosema. Na ndo maana napambana kusort kuwa normal. Shukran though
Wala usishindwe karibu. Mda huu nataman hata mtu aje nyumban Pm ktu gan dada anguI wish niku PM tuongee ila nashindwa mami
Ndo mana nmekushukuruYap ndio mtu ANAWEZA akawa kafiwa ,kaachana na mpenzi wake akawa depressed (mood disorder) ila mwingine anaweza akapitia shida kama izo.juu na asiwe depressed dhumuni langu ni ukaonane na psychologists au psychiatric ukamueleze what makes u depressed ili akusaidie kuliko wengine wanakushauri ukafanye mapenzi all in all is up to you , nimemaliza advice.
Allah akufanyie wepesi.Hili la mwisho ndo huwa sifanyi. Ntaenda hata saloon nkae hapo
Allahuma aminaAllah akufanyie wepesi.