Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!..🙄🙄Sawa inawezekana ikawa hivyo lakini stori yako imejaa chumvi
Huyu mke uliyemuoa 2013 anakubania papuchi ni mke huyu wa uzi wa leo ama ni mke wa pili?
Mke wangu ananibania tendo la ndoa
Wakuu habari zenu, kwema, wazima humu! Ngoja twende kwenye mada. Ni hivi nina mke nimeoa tangia mwaka 2013 tumebatika kupata watoto 4 wa kiume 3 wa kike 1. Wakuu kabla sijamuoa mke wangu kipindi hicho tulivyokutana miaka ya 2007 tupo kwenye uchumba tulikuwa tuna fanya sana mapenzi, alikuwa...www.jamiiforums.com
Nashukuru mzee...Mkuu, ukichukua leave uende kukaa home eti unatuliza akili, utajikuta unachizi... ongea tu na mama muambie kilichopo moyoni afu jipe shughuli. Mwanao pia mpe taarifa kwa mbali kwamba sio freshi. Wala usimlipizie....atayapitia uko mbele.
Sana sana pambana na shughuli yako mkuu, itakupotezea mawazo mabaya....na bila kusahau. Tafuta kamchepuko utoe stress!!!
Aibu ni mkeo, huna haki ya mahali hiyo ila unastahili heshima kubwa mno kuzidi hata baba wa mtoto, mkeo ndio ana akili kidogo, dharau na tamaa. Kaa kimya, kwenye gharama na ushiriki wako kwenye harusi mwambie pia asikushirikishe. Kaa na act kwa hekima, speak the issue softly when needed, but mark your firmHabari wana jamvi..! Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye
Watu mnachunguza aisee ile story sio ya ukweli mkuu nikimanisha kwamba sio ya kwangu ni ya mtu wangu was karibu SAS nikawa natafuta mawazo aliniomba ushauri nikaona nipate mawazo nikijifanya ni ya kwangu ila hii in kweli ya kwangu..Sawa inawezekana ikawa hivyo lakini stori yako imejaa chumvi
Huyu mke uliyemuoa 2013 anakubania papuchi ni mke huyu wa uzi wa leo ama ni mke wa pili?
Mke wangu ananibania tendo la ndoa
Wakuu habari zenu, kwema, wazima humu! Ngoja twende kwenye mada. Ni hivi nina mke nimeoa tangia mwaka 2013 tumebatika kupata watoto 4 wa kiume 3 wa kike 1. Wakuu kabla sijamuoa mke wangu kipindi hicho tulivyokutana miaka ya 2007 tupo kwenye uchumba tulikuwa tuna fanya sana mapenzi, alikuwa...www.jamiiforums.com
KIFUPI: Huyo kijana na mama yake huenda walionesha kutoa ushirikiano kwako Kwasababu Walikuwa tegemezi na hivyo hawakuwa na jinsi nyingine ya kuendesha maisha zaidi ya kushikamana na wewe vizuri.Habari wana jamvi..! Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka
Haina ile mkuu....Nashukuru mzee...
Siyo taraka ni talaka. Umemuona Joanah alivyokupiga na kitu kizito utosini? JikateTatizo ndoa ya kanisani sisi hatuna taraka mkuu
Umeoa 2000 ukiwa na age ya 17 hapo ni fomu 2 ukiwa,, Achana nao tafuta kaPC uenjoy nako wakigundua akili zitawarudiHabari wana jamvi..! Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka