Njiapanda: Mtoto wa mke wangu niliyemlea tangu ana miaka 2 ameenda kutoa mahari bila kunishirikisha

Njiapanda: Mtoto wa mke wangu niliyemlea tangu ana miaka 2 ameenda kutoa mahari bila kunishirikisha

Mlishaambiwa mkambiwa na kuambiwa kisha kuonywa na kukatazwa MSIOE MASINGLE MOTHER, ila hamuelewi sasa utakula jeuri yako kujifanya doctor love kwamba wewe unajua sana kupenda.

Mwananke wako huyo lazima moyo uwe kwa mwanae na wafanye mambo ya siri kwakua anajua mtoto sio wako lazima amuandalie mazingira. Tofauti na kama watoto wote mngezaa pamoja. Na hata kama ulimlea toka miaka 2 SIO MTOTO WAKO, ULILEA SHAHAWA ZA MWANAUME MWINGINE.

Kuoa single mother ni mlango wa hakika ya kua na mamigogoro mengi ila wanaume mabwege hua hawasikii, kwani wanawake wabichi hawapo mpaka ukaoe mwanamke aliyezalishwa ??! Seriouslly ?!

Na hapo bado, ukizeeka watakukomesha, watakuendesha sana utaishi kwa fedhea kuu, utakua na uzee wa majonzi sana na yote ni matokeo ya ubishi kuoa masingle mother.
Assumption yako sio kweli samaki mmoja kaoza sio wote.
Halafu usingle mother upo wa dizaini nyingi.
1.wa kuzaa hovyo
2.Wa kufiwa na mume
3.Wa kutojua baba halisi wa mtoto
3.Nk.
Hapo ni ubinafsi tu wa baba wa mlezi
 
Mlishaambiwa mkambiwa na kuambiwa kisha kuonywa na kukatazwa MSIOE MASINGLE MOTHER, ila hamuelewi sasa utakula jeuri yako kujifanya doctor love kwamba wewe unajua sana kupenda.

Mwananke wako huyo lazima moyo uwe kwa mwanae na wafanye mambo ya siri kwakua anajua mtoto sio wako lazima amuandalie mazingira. Tofauti na kama watoto wote mngezaa pamoja. Na hata kama ulimlea toka miaka 2 SIO MTOTO WAKO, ULILEA SHAHAWA ZA MWANAUME MWINGINE.

Kuoa single mother ni mlango wa hakika ya kua na mamigogoro mengi ila wanaume mabwege hua hawasikii, kwani wanawake wabichi hawapo mpaka ukaoe mwanamke aliyezalishwa ??! Seriouslly ?!

Na hapo bado, ukizeeka watakukomesha, watakuendesha sana utaishi kwa fedhea kuu, utakua na uzee wa majonzi sana na yote ni matokeo ya ubishi kuoa masingle mother.
Cha kumshaur,kwa kuwa bado Ana umri wa Kat awatengenezee watoto wake aliozaa kwa shahawa zako nao wapate Kaz au maisha Bora,maana hao nazan watakuja kumpa Furaha baadae. Ushaur wa pil aoe mwanamke mwingne huko aliko,na aendelee na maisha mapya maana umri wake bado unaruhusu kufanya hivyo,Kama Ni watoto atapata huko huko na wengne watamtaftaga wenyewe,hii itamjengea heshma kubwa Sana kuliko kuanza kuwafuatilia waliomsaliti!!!!
Mara nyng wema huwa haupotei,Kama aliwatendea mema atalipya mema na hawez kuzeeka vbaya Kama ulivyomtisha.
 
Kaka hali yako inaumiza kwa mtu yeyote mwenye kutafakari. Pole sana. Ushauri wangu, usiiache familia yako. Achana tu na dogo huyo uliyemlea, wala asikuumize kichwa. Chukulia tu kuwa umemsaidia mtu asiye na fadhila, na lishike neno la kuwa tenda wema nenda zako, usingoje shukran. Huyo kijana ipo siku atakukumbuka, usihuzunike, ni utoto unamsumbua. Kama umewatendea wema, basi usisahau kuwa wema hauozi, na utakurudia ukiwa maradufu kwa namna usiyotarajia

Wewe kwa sasa nakushauri zingatia maisha yako, penda sana watoto wako wa kuwazaa na wapiganie maisha yao. Jambo jema zaidi kwa sasa pia ni kumpotezea mkeo, focus kwenye mambo yako, Miradi mliyoanzisha pamoja inatosha sasa, anzisha miradi yako. Endelea na maisha yako, lakini endelea kufuatilia nyendo za mkeo.

Suala lingine, endelea tu kumheshimu mkeo lkn ishi naye kwa akili. Pia usimuweke sana katika mawazo yako, najua ni ngumu kwa kuwa mmetoka mbali sana, but you have to do it. Wakati mnaendelea kuishi, chunguza kama mkeo ni mwenzako au sio mwenzako ili uzidi kuchukua hatua za kukuweka salama nyakati za uzee wako usijebaki mpweke.

Zingatia kuwa, Kama kuna chochote mkeo kafanya kukuweka mbali na mwanao wa kumlea basi jua kuwa huyo ana roho hiyo na huenda akafanya hivyo hivyo kwa wanao wengine. Ili kuepusha hayo, anza kuchukua hatua, unavoacha hela ya matumizi, hakikisha watoto wako wanashuhudia. Hela ya ada hakikisha unawapa watoto kutoka kwenye mikono yako na sio unampa mama yao. Hii itakuja kukupa leverage ya upendo wao kwa kukumbuka uwajibikaji wako kwao huko siku za usoni. Kumbuka mzazi hapendwi kwa kuzaa kwake bali hupendwa kwa malezi yake kwa watoto, hilo weka akilini. .
 
Watu mnachunguza aisee ile story sio ya ukweli mkuu nikimanisha kwamba sio ya kwangu ni ya mtu wangu was karibu SAS nikawa natafuta mawazo aliniomba ushauri nikaona nipate mawazo nikijifanya ni ya kwangu ila hii in kweli ya kwangu..
Mmmh uwongo mtupu[emoji848][emoji848][emoji57][emoji57]
 
Assumption yako sio kweli samaki mmoja kaoza sio wote.
Halafu usingle mother upo wa dizaini nyingi.
1.wa kuzaa hovyo
2.Wa kufiwa na mume
3.Wa kutojua baba halisi wa mtoto
3.Nk.
Hapo ni ubinafsi tu wa baba wa mlezi
Bisha mpaka ujambe, kataa huku unalia, ukweli uko wazi kuoa single mother ni njia nzuri na ya hakika kua na ndoa yenye migogoro.

Hata sijui unachobisha nini wakati hata mleta mada anadhihirisha jinsi step son hana respect kwake licha ya kulelewa tangu akiwa na miaka 2.

Na wanaume mabwege ndio wanaoa masingle mothers hakunaga high value man ataenda aoe single mother NEVER
 
Shida ya mswahili akimsaidia mtu anataka fadhila au kummiliki.
Kwann msiwe kama wazungu anakusaidia ufanikiwe then hana time nawe malipo atalipwa na Mungu ye kamiliza jukumu lake. Hata Mimi nafanya hivyo, waliosema usingoje shukrani waliyaona haya.
Mkuu nahis hujamwelewa vizur!! Yeye hahitaji msaada,ila anachoshangazwa Ni kwamba Kuna Mambo yanafanyika ndan ya familia yake bila kushrikishwe yeye Kama baba wa familia,mfano swali la ujenz na kutoa mahar kwa mtoto wa kufkia. Tatzo watu mnakurupukaga kuchangia hata hujaelewa matakwa ya mtoa mada.
 
Mkuu nahis hujamwelewa vizur!! Yeye hahitaji msaada,ila anachoshangazwa Ni kwamba Kuna Mambo yanafanyika ndan ya familia yake bila kushrikishwe yeye Kama baba wa familia,mfano swali la ujenz na kutoa mahar kwa mtoto wa kufkia. Tatzo watu mnakurupukaga kuchangia hata hujaelewa matakwa ya mtoa mada.
Jamani wakuu msibishane buure hili liuzi ni chai
 
Duh pole sana Mkuu familia Zina changamoto wanasema tenda wema nenda zako Ila n vyema ukakaa na mkeo kwanza uongee nae kuhusu hlo Jambo, ni tatizo umeishi nae miaka mingi utajua tu kwamba anadanganya au Kuna kitu anaficha baada ya hapo utajua jinsi ya kuongea n step son wako obvious chanzo ni mwanamke hutakiwi kuwa n degree ya sociology kujua Hilo.
 
Wewe soldier acha kulialia makamanda hawalii piga kazi hayo mambo madogo yasikusumbue
 
Bisha mpaka ujambe, kataa huku unalia, ukweli uko wazi kuoa single mother ni njia nzuri na ya hakika kua na ndoa yenye migogoro.

Hata sijui unachobisha nini wakati hata mleta mada anadhihirisha jinsi step son hana respect kwake licha ya kulelewa tangu akiwa na miaka 2.

Na wanaume mabwege ndio wanaoa masingle mothers hakunaga high value man ataenda aoe single mother NEVER
So masingle mother waoane na masingle father
 
sasa mkuu yangekukuta ya huyu ungefanyaje

 
Hesabu kidogo: una miaka 39 now, bila Shaka umezaliwa mwaka 1983, uliajiliwa mwaka 2000, ukiwa na miaka 17 tu??
Utasitaafu mwaka 2045, hyo ni miaka 23 ijayo, chukua miaka 39 uliyonayo + na 23 iliyobaki kusitaafu =59, tafta kazi yake endapo atasitaafu na miaka 59?, tukijua kazi yake nitampa ushauri
 
Pole Sana Ila huyo mama na huyo mtoto Wana asili ya uchawi
 
Hesabu kidogo: una miaka 39 now, bila Shaka umezaliwa mwaka 1983, uliajiliwa mwaka 2000, ukiwa na miaka 17 tu??
Utasitaafu mwaka 2045, hyo ni miaka 23 ijayo, chukua miaka 39 uliyonayo + na 23 iliyobaki kusitaafu =59, tafta kazi yake endapo atasitaafu na miaka 59?, tukijua kazi yake nitampa ushauri
We Jamaa umeleta hesabu wakati huzijui. 39 + 23 ni 59!!!!?
 
Mkuu we nimtu kazi auvip mzee wangu..sasa cha kufanya nenda mpanda mroge huyo mtoto awe kichaa halafu wakati mkeo amechanganyikiwa na homa ya mtoto,tumia nafasi hiyo kujua hyo nyumba kajenga wapi.

Then mroge nayeye wafanye ndondcha then utakufa kwa amani.
Mpanda ndiyo kuna wachawi wakuroga watu?
 
Back
Top Bottom