Njiapanda: Mtoto wa mke wangu niliyemlea tangu ana miaka 2 ameenda kutoa mahari bila kunishirikisha

Njiapanda: Mtoto wa mke wangu niliyemlea tangu ana miaka 2 ameenda kutoa mahari bila kunishirikisha

Vipi tena mkuu?
 

Attachments

  • Screenshot_20221222-065018_Chrome.jpg
    Screenshot_20221222-065018_Chrome.jpg
    118.7 KB · Views: 10
Habari wana jamvi!

Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka 2002, jumla ukijumlisha tuna watoto 7.

Kiukweli huyo kijana mtoto wa mke wangu (my step son) nimemtafutia kazi Serikalini now anafanya kazi vizuri, alipata kazi mwaka juzi akiwa na miaka 19 tu, huyu kijana nimemlea mimi tokea akiwa mdogo maana nilianza kuishi na mama yake dogo akiwa na miaka 2.

Kwanini nimekuja kwenu leo, mke wangu anajua simuelewi, amekuwa msiri sana na huyu kijana wake. Wanafanya vitu vya siri siri, sishirikishwi kwa chochote nikiwa kama mzazi. Kuna siku kijana kamfata mama yake waende wakanunue eneo mimi sijaambiwa sikumaind, maana ni jambo la kawaida tuu.

Kubwa kuliko ni kijana kaenda katoa mpaka mahari, lakini kijana mimi hajaniambia kama baba yake ambae nimemlea tokea mdogo, mpaka kazi mimi ndio nimemtafutia lakini hanishirikishi kwenye jambo la kuoa.

Nilipochoka wametoa mpaka mahari lakini taarifa sijapewa ni hivi mimi niko nao mbali, mimi niko mkoa wa Arusha kikazi, saizi wife na familia wapo Pwani, Kibaha. Kijana wangu kazi anafanyia Morogoro huyo kiukweli hiki kitu kimeniuma sana.

Nikifikiria huyu mke wangu tulikuwa tunapendana sana na tumetoka mbali sana, tokea kipindi iko tunaishi Iringa nilimkuta akiwa dada wa kazi za ndani ana mtoto mimi nikiwa msaidizi pia kaka wa kazi za ndani. Ila tukapendana hivyo hivyo Mungu akanisaidia nikapata ajira mwaka 2000, 2002 tukaoana tukiwa wadogo sana.

Tena nilimuoa hata ile ruksa ya mimi kupata kutoka kazini sikupata ruksa ya kuoa lakini nilimuoa hivyo hivyo mpaka leo tuna watoto 7 ukijumlisha na wake, lakini leo kijana wake mambo yanakuwa mazuri wanaanza nitenga nashindwa elewa nimewakosea nini!

Maana mimi huwa sishindi nyumbani naweza nikakaa miezi hata mitatu sijarudi home hii yote kutokana na nature ya kazi yangu ambayo kijana wangu my step son amenirithi, kiukweli naumia sana.

Yani tunaelekea uzeeni wife ndo ananza nificha hivi, mke wangu alikuwa na tabia nzuri tuu nashindwa elewa izi tabia kazitoa wapi za kunificha sijawai mfumania ajawai nifumania sina mtoto wa njee sina mwanamke njee japo nilishawai kuwa mchepuko nilipigaga mara mbili tatu onetime nikatemana nae lkn mke wangu hakujua sasa nashindwa kuelewa why wife amebadilika hivi?

Kitu kingine kijana huyu nikimpigia simu hapokei au akipokea hana story na mimi kama zamani kiukweli hiki kitu kina nitesa sana yani natamani hata nistaf mapema ili niwe karibu na wife lakini mimi kustaafu bado mpaka mwaka 2045.

Kiukweki sina furaha natamani nirudi nikakae karibu na familia yangu sijawai fikiria kama mapenzi yatanitesa hivi jinsi mm na wife tulivyopendana sijui nimemkosea wapi mpaka amenitenga ananificha baadhi ya vitu yeye na kijana wake.

Kitu kingine nasikia wife anajenga huko Mbande lakini hajaniambia. Hii sina uhakika maana nipo mbali naye. Ukiangalia kama miradi mingi mimi na wife tumeshirikiana ifanya na iko hatua nzuri kiukweli nataka nichukue leave ya mwezi mzima nikakae home nitulize akili mana wife simuelewi anashida gani kwann ananificha ficha vitu vyake sikuizi.
Kaa kando

Mtoto keshampata babake, na mke keshapata amani yake

Story yako tells us kwamba you were a bad cart taker
 
Ingekua mm ningeendelea na mambo yangu. ..wala nisingesema chochote kwakua usipoangalia hatahuyo mkeo wanashirikiana namzazi mwenza ilaww hujui. .somesha wanao achakuutesa moyo wako kwa stress mwisho unakufa kwa pressure...unao 6 wengine piga kazi tena fanya km hujui vile....one day watakutafuta hawa.
 
Mkuu, ukichukua leave uende kukaa home eti unatuliza akili, utajikuta unachizi... ongea tu na mama muambie kilichopo moyoni afu jipe shughuli. Mwanao pia mpe taarifa kwa mbali kwamba sio freshi. Wala usimlipizie....atayapitia uko mbele.

Sana sana pambana na shughuli yako mkuu, itakupotezea mawazo mabaya....na bila kusahau. Tafuta kamchepuko utoe stress!!!
Hili ndio suluhisho maana ameshazaa nsye watoto 6 hakuna haja ya kuanza kumbembeleza sana.
Ni kuanzisha tu maisha mengine kimyakimya
 
Sawa inawezekana ikawa hivyo lakini stori yako imejaa chumvi

Huyu mke uliyemuoa 2013 anakubania papuchi ni mke huyu wa uzi wa leo ama ni mke wa pili?


Duh hii mada yake ina utata yaani aoe miaka 9 nyuma leo hii wawe na watoto 7 wanazaa kwa spidi gani?
 
Habari wana jamvi!

Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka 2002, jumla ukijumlisha tuna watoto 7.

Kiukweli huyo kijana mtoto wa mke wangu (my step son) nimemtafutia kazi Serikalini now anafanya kazi vizuri, alipata kazi mwaka juzi akiwa na miaka 19 tu, huyu kijana nimemlea mimi tokea akiwa mdogo maana nilianza kuishi na mama yake dogo akiwa na miaka 2.

Kwanini nimekuja kwenu leo, mke wangu anajua simuelewi, amekuwa msiri sana na huyu kijana wake. Wanafanya vitu vya siri siri, sishirikishwi kwa chochote nikiwa kama mzazi. Kuna siku kijana kamfata mama yake waende wakanunue eneo mimi sijaambiwa sikumaind, maana ni jambo la kawaida tuu.

Kubwa kuliko ni kijana kaenda katoa mpaka mahari, lakini kijana mimi hajaniambia kama baba yake ambae nimemlea tokea mdogo, mpaka kazi mimi ndio nimemtafutia lakini hanishirikishi kwenye jambo la kuoa.

Nilipochoka wametoa mpaka mahari lakini taarifa sijapewa ni hivi mimi niko nao mbali, mimi niko mkoa wa Arusha kikazi, saizi wife na familia wapo Pwani, Kibaha. Kijana wangu kazi anafanyia Morogoro huyo kiukweli hiki kitu kimeniuma sana.

Nikifikiria huyu mke wangu tulikuwa tunapendana sana na tumetoka mbali sana, tokea kipindi iko tunaishi Iringa nilimkuta akiwa dada wa kazi za ndani ana mtoto mimi nikiwa msaidizi pia kaka wa kazi za ndani. Ila tukapendana hivyo hivyo Mungu akanisaidia nikapata ajira mwaka 2000, 2002 tukaoana tukiwa wadogo sana.

Tena nilimuoa hata ile ruksa ya mimi kupata kutoka kazini sikupata ruksa ya kuoa lakini nilimuoa hivyo hivyo mpaka leo tuna watoto 7 ukijumlisha na wake, lakini leo kijana wake mambo yanakuwa mazuri wanaanza nitenga nashindwa elewa nimewakosea nini!

Maana mimi huwa sishindi nyumbani naweza nikakaa miezi hata mitatu sijarudi home hii yote kutokana na nature ya kazi yangu ambayo kijana wangu my step son amenirithi, kiukweli naumia sana.

Yani tunaelekea uzeeni wife ndo ananza nificha hivi, mke wangu alikuwa na tabia nzuri tuu nashindwa elewa izi tabia kazitoa wapi za kunificha sijawai mfumania ajawai nifumania sina mtoto wa njee sina mwanamke njee japo nilishawai kuwa mchepuko nilipigaga mara mbili tatu onetime nikatemana nae lkn mke wangu hakujua sasa nashindwa kuelewa why wife amebadilika hivi?

Kitu kingine kijana huyu nikimpigia simu hapokei au akipokea hana story na mimi kama zamani kiukweli hiki kitu kina nitesa sana yani natamani hata nistaf mapema ili niwe karibu na wife lakini mimi kustaafu bado mpaka mwaka 2045.

Kiukweki sina furaha natamani nirudi nikakae karibu na familia yangu sijawai fikiria kama mapenzi yatanitesa hivi jinsi mm na wife tulivyopendana sijui nimemkosea wapi mpaka amenitenga ananificha baadhi ya vitu yeye na kijana wake.

Kitu kingine nasikia wife anajenga huko Mbande lakini hajaniambia. Hii sina uhakika maana nipo mbali naye. Ukiangalia kama miradi mingi mimi na wife tumeshirikiana ifanya na iko hatua nzuri kiukweli nataka nichukue leave ya mwezi mzima nikakae home nitulize akili mana wife simuelewi anashida gani kwann ananificha ficha vitu vyake sikuizi.
Ulishalea ukamaliza. Acha waishi maisha waliyochagua. Unajipa headache ya bure tu. Vitu vingine shukuru endelea na maisha yako. Wewe si baba yake halisi. Hawa watoto mwisho wa siku watarudi kwa baba zao tu.
 
Kwa nini ufe na stress waeleze wote mtoto na mama yake. Kisha.piga kimya, tafta mchepuko, usitake kujua habari zao. Jenga huko huko uliko maana na mkeo ana mchepuko. Wapige pin wote.
 
Umekiuka ile sheria usioe single mother umepata ulichofaindi, Alaf ukiachana na single maza kuna wamama uwa hawanaga akili ata kidogo, wanatabia yakuwashirikisha matatizo yao ya ndoa watoto adi watoto kumchukia baba pasipo watoto ata kuuliza mama je wew ni mwema sana kwa baba haujawai kumkosea.

mim mama yangu pia uwa anatabia hii hii ya kutuadithia upuuzi wa baba yetu enzi za ujana wao na alivyoteseka ila mim uwa naishia kumsikiliza tu na kumpuuza maana najua nature ya awa viumbe jamii KE ata awe mama yako mzazi ni walel wale, lakin mzee wangu mim nayey ni mabest kinoma na hakuna siku amewahi kunisimulia upuuzi wa mama ujanani na sio kwamba mama alikuwa mwema ila tu mzee anavunga hanaga story za maza kabisa za ujanani
 
Umekiuka ile sheria usioe single mother umepata ulichofaindi, Alaf ukiachana na single maza kuna wamama uwa hawanaga akili ata kidogo, wanatabia yakuwashirikisha matatizo yao ya ndoa watoto adi watoto kumchukia baba pasipo watoto ata kuuliza mama je wew ni mwema sana kwa baba haujawai kumkosea.

mim mama yangu pia uwa anatabia hii hii ya kutuadithia upuuzi wa baba yetu enzi za ujana wao na alivyoteseka ila mim uwa naishia kumsikiliza tu na kumpuuza maana najua nature ya awa viumbe jamii KE ata awe mama yako mzazi ni walel wale, lakin mzee wangu mim nayey ni mabest kinoma na hakuna siku amewahi kunisimulia upuuzi wa mama ujanani na sio kwamba mama alikuwa mwema ila tu mzee anavunga hanaga story za maza kabisa za ujanani
fainali uzeeni....hilo liko wazi
 
Watu mnachunguza aisee ile story sio ya ukweli mkuu nikimanisha kwamba sio ya kwangu ni ya mtu wangu was karibu SAS nikawa natafuta mawazo aliniomba ushauri nikaona nipate mawazo nikijifanya ni ya kwangu ila hii in kweli ya kwangu..
Ahaa! Kwa hiyo unakatabia ka uwongo uwongo?
 
Habari wana jamvi!

Natumaini ni wazima wa afya, ni hivi niende kwenye mada husika hapo juu mimi ni kijana mwenye umri was miaka 39, nina mke na watoto 6 ila mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa kiume wakati tunaoana mwaka 2002, jumla ukijumlisha tuna watoto 7.

Kiukweli huyo kijana mtoto wa mke wangu (my step son) nimemtafutia kazi Serikalini now anafanya kazi vizuri, alipata kazi mwaka juzi akiwa na miaka 19 tu, huyu kijana nimemlea mimi tokea akiwa mdogo maana nilianza kuishi na mama yake dogo akiwa na miaka 2.

Kwanini nimekuja kwenu leo, mke wangu anajua simuelewi, amekuwa msiri sana na huyu kijana wake. Wanafanya vitu vya siri siri, sishirikishwi kwa chochote nikiwa kama mzazi. Kuna siku kijana kamfata mama yake waende wakanunue eneo mimi sijaambiwa sikumaind, maana ni jambo la kawaida tuu.

Kubwa kuliko ni kijana kaenda katoa mpaka mahari, lakini kijana mimi hajaniambia kama baba yake ambae nimemlea tokea mdogo, mpaka kazi mimi ndio nimemtafutia lakini hanishirikishi kwenye jambo la kuoa.

Nilipochoka wametoa mpaka mahari lakini taarifa sijapewa ni hivi mimi niko nao mbali, mimi niko mkoa wa Arusha kikazi, saizi wife na familia wapo Pwani, Kibaha. Kijana wangu kazi anafanyia Morogoro huyo kiukweli hiki kitu kimeniuma sana.

Nikifikiria huyu mke wangu tulikuwa tunapendana sana na tumetoka mbali sana, tokea kipindi iko tunaishi Iringa nilimkuta akiwa dada wa kazi za ndani ana mtoto mimi nikiwa msaidizi pia kaka wa kazi za ndani. Ila tukapendana hivyo hivyo Mungu akanisaidia nikapata ajira mwaka 2000, 2002 tukaoana tukiwa wadogo sana.

Tena nilimuoa hata ile ruksa ya mimi kupata kutoka kazini sikupata ruksa ya kuoa lakini nilimuoa hivyo hivyo mpaka leo tuna watoto 7 ukijumlisha na wake, lakini leo kijana wake mambo yanakuwa mazuri wanaanza nitenga nashindwa elewa nimewakosea nini!

Maana mimi huwa sishindi nyumbani naweza nikakaa miezi hata mitatu sijarudi home hii yote kutokana na nature ya kazi yangu ambayo kijana wangu my step son amenirithi, kiukweli naumia sana.

Yani tunaelekea uzeeni wife ndo ananza nificha hivi, mke wangu alikuwa na tabia nzuri tuu nashindwa elewa izi tabia kazitoa wapi za kunificha sijawai mfumania ajawai nifumania sina mtoto wa njee sina mwanamke njee japo nilishawai kuwa mchepuko nilipigaga mara mbili tatu onetime nikatemana nae lkn mke wangu hakujua sasa nashindwa kuelewa why wife amebadilika hivi?

Kitu kingine kijana huyu nikimpigia simu hapokei au akipokea hana story na mimi kama zamani kiukweli hiki kitu kina nitesa sana yani natamani hata nistaf mapema ili niwe karibu na wife lakini mimi kustaafu bado mpaka mwaka 2045.

Kiukweki sina furaha natamani nirudi nikakae karibu na familia yangu sijawai fikiria kama mapenzi yatanitesa hivi jinsi mm na wife tulivyopendana sijui nimemkosea wapi mpaka amenitenga ananificha baadhi ya vitu yeye na kijana wake.

Kitu kingine nasikia wife anajenga huko Mbande lakini hajaniambia. Hii sina uhakika maana nipo mbali naye. Ukiangalia kama miradi mingi mimi na wife tumeshirikiana ifanya na iko hatua nzuri kiukweli nataka nichukue leave ya mwezi mzima nikakae home nitulize akili mana wife simuelewi anashida gani kwann ananificha ficha vitu vyake sikuizi.
Pole sana
 
Back
Top Bottom