Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,271
Dah mambo magumu jamani!
Jiwe limekuwa laini kama mkateš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah mambo magumu jamani!
ChakubangašYaani Polepole kwa unafki ameshindikana...kamuona magu anapiga magoti na yeye kwa spidi ya umeme akawahi tukio asipitwe!!
Unakoelekea akiomba akupige tako kadhaa , utatoa tundu dogoKwa kitendo cha Dr Magufuli kusimama imara katika kutuongoza na hatimaye kuishinda Corona zawadi pekee anayostahili ni sisi watanzania kumpigia magoti na kumpa 5 tena.
Yule Jah people ni mtu wa miti shamba siyo wa kumfatisha sana analosema ana mambo yake yule mpwa wa Mwakipande.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa kitendo cha Dr Magufuli kusimama imara katika kutuongoza na hatimaye kuishinda Corona zawadi pekee anayostahili ni sisi watanzania kumpigia magoti na kumpa 5 tena.
Yule Jah people ni mtu wa miti shamba siyo wa kumfatisha sana analosema ana mambo yake yule mpwa wa Mwakipande.
Maendeleo hayana vyama!
Mjinga sana wewe, tumpigie mtu aliyetufarakanisha Watanzania?Kwa kitendo cha Dr Magufuli kusimama imara katika kutuongoza na hatimaye kuishinda Corona zawadi pekee anayostahili ni sisi watanzania kumpigia magoti na kumpa 5 tena.
Yule Jah people ni mtu wa miti shamba siyo wa kumfatisha sana analosema ana mambo yake yule mpwa wa Mwakipande.
Maendeleo hayana vyama!
Mwambie mhusika, na sio sisi kama wewe unajifanya unajua zaidi ya yeye anayeijua hali halisi!Kwa kitendo cha Dr Magufuli kusimama imara katika kutuongoza na hatimaye kuishinda Corona zawadi pekee anayostahili ni sisi watanzania kumpigia magoti na kumpa 5 tena.
Yule Jah people ni mtu wa miti shamba siyo wa kumfatisha sana analosema ana mambo yake yule mpwa wa Mwakipande.
Maendeleo hayana vyama!
Haya kakojoe ukalale,Kwa kitendo cha Dr Magufuli kusimama imara katika kutuongoza na hatimaye kuishinda Corona zawadi pekee anayostahili ni sisi watanzania kumpigia magoti na kumpa 5 tena.
Yule Jah people ni mtu wa miti shamba siyo wa kumfatisha sana analosema ana mambo yake yule mpwa wa Mwakipande.
Maendeleo hayana vyama!
Bro ninae hela ya kulisha wafanyakazi wa UFIPA kwa mwaka mzimaMpayukaji tu na kufokea watu...ndo maana hashauriki ni dhaifuuuuu na mwogaaaaa..kachuke buku 7 yako kwanza
SUBIRI KIDOGO
Mh. Tundu Antiphas Lissu alipodai wapo watu wamelegea tayari wengi hatukuamini...sasa nimeamini baada ya kujionea kwa macho yangu!Kufoka na kukaripia kumegeuka kuwa haya sasa?
Hongera sana Tundu Lissu kuwezesha mabadiliko haya. Pushup safari hii hazifanyi maigizo sahihi, bali magoti yanatosha!
Sasa watu wasihadaike na uigizaji huu, wakikosea tu safari hii imekula kwao.
Wewe unampa Mbowe Tundu dogo hapo Ufipa!!!Unakoelekea akiomba akupige tako kadhaa , utatoa tundu dogo