Uchaguzi 2020 Njombe: Dkt. Magufuli aomba kura kwa kupiga magoti mbele ya Wananchi

Uchaguzi 2020 Njombe: Dkt. Magufuli aomba kura kwa kupiga magoti mbele ya Wananchi

Kofia za wakubwa huzioni,
Kama ni kusomba watu Yale magari ya matangazo ya chadema yanapita mtaani kufanya nini?View attachment 1584649View attachment 1584650

Sasa kama ndivyo Magoti ni ya nini Muda huu !?.Nyie si ndio mlikuwa mna piga Pushap Majukwaani !?.Sasa mmepata kiboko yenu mnaaza na maneno ooh mnyenyekevu ,mbona hatukuuona unyenyekevu wake katika tukio baya pale Ndugu zetu walipo athiriwa baada ya tetemeko baya na kupoteza Mali zao !?Msivyo na huruma na Rambi rambi zao mkala ,ni Laana hiyo na ita watafuna tu.
 
Wameshalegea... Wameshalegea. Lissu endelea na spana.. Tumesikia mgombea Urais wa CCM akimlaumu Rais wa Tanzania kwa kodi.kubwa ya mbao na miti huko Njombe.
 
Dah mambo magumu
Mbona sasa mnatuchanganya jamani? Hii ni video fake, si kweli. Huyo aliyepiga magoti siye JPM, acheni kumzushia bulldozer. Kwanza, huyo hajapiga magoti. Mkitaga kushuhudia upigaji wa Magoti ukoje, subirini siku wanaingia Kawe kumnadi yule tapeli Gwajima. Siku hiyo labda mtashuhudia jinsi magoti halisi yanavyopigwa. Huyu alikuwa anajiandaa tu kupiga push up akajichanganya kidogo baada ya kunong'onezewa muziki wa Karatu.
Kweli Mheshimiwa !
 
Acha ujuha kupiga magoti ni ishara ya unyenyekevu na uzalendo

Dkt. Magufuli ni mnyenyekevu mbele ya watanzania,anatuheshimu na anatupenda.

Hatishwi na siasa zenu zisizo na nidhamu
Ameanza lini unyeyekevu?
Kaffir mnafiki mkubwa
Katili muuaji
Sifa zote za farao Anazo
 
maji yamekwisha zidi unga na mboga imeiva
mwaka huu tutaona mengi ya siasa
 
Hiyo miradi ukiacha ule wa SGR ni white Elephant, subiri atoke madarakani baada ya tarehe 28 October 2020 au baada ya 2025 utajua uchafu wa hiyo miradi na ilivyotia hasara taifa hili wakati haina faida yoyote.

Inawezekana haswa. ieleweke kuwa CCM na CCM peke yake ina madeni na njia ya kurudisha hayo madeni ni kubaki madarakani

Hivyo basi hata kuomba kwa magoti ili kubaki madarakani halinishangazi mimi binafsi.
Niongeze, kuwa mila na desturi ya mwaafrika kupiga magoti sio jambo geni pia ni heshima kwa wale waliokuwa mbeleni mwake.
 
Nipeni connection nimpeleke kwa mganga mmoja wa kienyeji yuko vizuri lazima ashinde kwa kishindo ila sharti ni moja tu lazima asimame kwenye mdahalo na lissu
 
😂😂😂😂😂😂Pale maji yanapozidi unga! Lissu the GREATEST si wa mchezo mchezo.
Anachoshindwa kuona ni hao wanaomzunguka ni adui zake zaidi kuliko TL
Mzee hajui kusoma alama za nyakati
Wabena Wakinga Wapangwa Wakisi utapiga magoti jioni nenda vijiweni utasikia watakavyomnanga mtu
ccm mlivyowafanya na mahindi yao mbao zao chai yao viazi vyao maparachichi yao wanawaangalia tu
10.28.2020 mtajua mlipoteza muda kupiga magoti
 
Back
Top Bottom