Uchaguzi 2020 Njombe: Dkt. Magufuli aomba kura kwa kupiga magoti mbele ya Wananchi

Uchaguzi 2020 Njombe: Dkt. Magufuli aomba kura kwa kupiga magoti mbele ya Wananchi

Kutoka kwenye pushapu hadi kupiga magoti????.....something is wrong
1601393863386.png


2015 Mbeya : Kumbe ni ugonjwa wa CCM
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida baadhi ya Watia nia ya Ubunge katika Jimbo la Mbeya mjini kwa tiketi ya CCM wamelazimika kuomba kura kw
 
Ana piga goti kwani kakosea nini.kumbe ana jijua ..ii inatosha tu kumnyima kura zetu hafaiiii..kiongozi dhaifu uyu ..

SUBIRI KIDOGO
Eti dhaifu. Nyie UFIPA mnataka yukoje sasa kama na JPM ni dhaifu.
 
Eti dhaifu. Nyie UFIPA mnataka yukoje sasa kama na JPM ni dhaifu.
Mpayukaji tu na kufokea watu...ndo maana hashauriki ni dhaifuuuuu na mwogaaaaa..kachuke buku 7 yako kwanza

SUBIRI KIDOGO
 
What did i contribute?!Mkuu una akili timamu?Mzee baba anadai kuwa miradi yote mikubwa inajengwa kwa pesa zetu za ndani ambazo ni kodi zetu then unaniuliza what did i contribute?!
Kama unacontribute kwanini unaiita white elephant?
 
Hapo wamejaa watoto,wanafunzi na watu wazima wengi wamesombwa kutoka sehemu mbalimbali plus wasanii kina harmonize wapo upande wa pili lisu hana wasanii wala hana magari ya kubebelea watu
Inadaiwa huko Tabora nako walisombwa na uwanja kufurika, lakini vifo vilivyo tokea kwa kukanyagana ni siri. Tuwahurumie watoto, ni taifa la kesho.
 
Baba hawezi kuwapigia Watoto Magoti. Hata kama Baba ni mkosaji. Ukiona hivyo basi ujue kuna tatizo tena kubwa mahali. Vinginevyo wamechanganyikiwa.

Madaraka Matamu sana yaani ni yule aliyewahi kuaema "Hajaribiwi"?? Kanikumbusha enzi zile Mjengoni Mizengo Pinda alipoangua kilio tukafikiri kaguswa na mauaji ya ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi. Kumbe alikuwa akililia Uwiziri Mkuu wake.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi vitoto ndio amepigia magoti bila shaka View attachment 1584556

Nilishasema mara nyingi, na narudia tena kusema, wafanyakazi walio chini ya TAMISEMI kwa kipindi hiki cha hawamu ya 5 wanatabu sana. Sasa ona wanawatesa bure wanafunzi wakati umri wao wa kupiga kura bado. Ukiwatazama hawa wanafunzi hawana furaha kabisa na hawajui kinachoendelea hapo kwani
Umri wa kupiga kura.jpg
wengine wana njaa.
 
Dah mambo magumu jamani!


Hawa ccm ndo mtindo wao, ila wakishapata kura wanawafokea wananchi na kuwatendea kila tendo baya wanaloliona kwao kuwatendea.

Yaani hata wakilamba miguu wasipewe kura. Hawafai kabisa, hapo wanazuga tu ili kuwalainisha wananchi.
 
Back
Top Bottom