Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,332
Yupo bize anamtukana LissuPolepole yuko wapi hadi bwana ake anapigishwa magoti hadharani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo bize anamtukana LissuPolepole yuko wapi hadi bwana ake anapigishwa magoti hadharani ?
Hahahahahahahaha Tundu Lissu zidisha spanaaaaaaaaaaa. Jiwe limelainikaaaaaaDah mambo magumu jamani!
View attachment 1584542
The most corruptive(refer to Mayanga contractors and 1.5 trillion scandal),expensive and yet white elephant projects!Amalizie standard Gage,na stiglers
Hapana Rais wangu usijidhalilishe kabisa. Kura za kutosha unazo asubuhi na mapema.
Mzee keshaona hali si hali.Kutoka kwenye pushapu hadi kupiga magoti????.....something is wrong
Naona hapo kwenye stigler gorge, ufisadi wa Magufuli ameuficha kwenye jina la Nyerere.Kuna tofauti Kati mitazamo kizalendo na mitazamo ya kibeberu.
Mitazamo ya kibeberu ni hii
Reli ya mkoloni na
Ule umeme wa dowans
Magufuli kaja na mitazamo ya kizalendo
Stigler's gorge(nyerere)
Standard Gage
Kwanini akose urais?
Kama kweri amechapa kazi kwa kauli mbiu HAPA KAZI TU...... Magoti ya mbuzi ya nini tena??? Lissu amewashika tena saaanaaaa
Waliombwa Kura ni hii nyomiView attachment 1584672View attachment 1584671View attachment 1584673View attachment 1584589
Walioombwa kura ni hawa wacheza chandimu
We! Hujamuona alivyotoka spidi kama ngiri afukuzwavyo na simba kuwahi kupiga naye magoti?Polepole yuko wapi hadi bwana ake anapigishwa magoti hadharani ?
Sasa ulisikia wapi muuwaji wa binadam akawa mnyenyekevu?ulisikia wapi? Jambazi anaweza kunyenyekea ili kukulia taimingi Lakini jitu katiri linaloua na kufunga kwenye viroba halijui hayo usemayoAcha ujuha kupiga magoti ni ishara ya unyenyekevu na uzalendo
Dkt. Magufuli ni mnyenyekevu mbele ya watanzania,anatuheshimu na anatupenda.
Hatishwi na siasa zenu zisizo na nidhamu