Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Mzee ameshalegea!
Tundu Lissu endelea kugonga spana mpaka hao wa kijani wakimbie miji.
Tundu Lissu endelea kugonga spana mpaka hao wa kijani wakimbie miji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha hao ni Makomediani walioshindikanayaani polepole kwa unafki ameshindikana...kamuona magu anapiga magoti na yeye kwa spidi ya umeme akawahi tukio asipitwe!!
Dah mambo magumu jamani!
View attachment 1584542
Angekiri kuibeba agenda ya Uhuru,haki na maendeleo na kuiishi ingesaidia.''I can't breath' In Baba Jesca's voice.Lissu spana ziendelee
Kutoka kwenye pushapu hadi kupiga magoti? Something is wrongDah mambo magumu jamani!
View attachment 1584542
Najizuia kucheka nashindwa kabisa. Nimejaribu mara 3 nzimaDah mambo magumu jamani!
View attachment 1584542
Karatu WANAKERA!!!!Mbona sasa mnatuchanganya jamani? Hii ni video fake, si kweli. Huyo aliyepiga magoti siye JPM, acheni kumzushia bulldozer. Kwanza, huyo hajapiga magoti. Mkitaga kushuhudia upigaji wa Magoti ukoje, subirini siku wanaingia Kawe kumnadi yule tapeli Gwajima. Siku hiyo labda mtashuhudia jinsi magoti halisi yanavyopigwa. Huyu alikuwa anajiandaa tu kupiga push up akajichanganya kidogo baada ya kunong'onezewa muziki wa Karatu.
Hawa jamaa kwny field ya usanii wako njema sana aisee.Huku napo wanasugua na kuosha masufuria View attachment 1584552
Wana ilani ina zaidi ya page 300 huku hana cha kuwaambia wananchi.Huku napo wanasugua na kuosha masufuria View attachment 1584552
Huyo alishawahi kumshikia Magu madafu wkt magu ameshalishika tayari mikononi liko mdomoni kwa mzee akijiandaa kunywa,kwa unafiki yuko njemayaani polepole kwa unafki ameshindikana...kamuona magu anapiga magoti na yeye kwa spidi ya umeme akawahi tukio asipitwe!!
Yako puani sasaMaji ya shingo
Dah mambo magumu jamani!
View attachment 1584542
Yako puani sasa