Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu noma. Kiburi chote cha hii mtu kwisha. Ila subiri ichaguliwe sasa mtalimia kuchaaa.Dah mambo magumu jamani!
View attachment 1584542
Unajuwa unaweza kumchukia mtu kwa kumuangalia tu hata kama hajakosea. Polepole ni katika watu nawachukia sana tu na Babu Tale wana sura fulani za kinafiki hivi. Mungu anisameheYaani Haka Kajamaa nimekatafakari nimeshindwa kabisa kukaelewa.[emoji28][emoji28][emoji28]
Magu akitangazwa mshindi mtakuja kulia mnaibiwa wakati akiomba kura kama hivi mnakejeliTUNDU LISSU shikilia hapo hapo maana mzee baba kapoteana
Dah mambo magumu jamani!
View attachment 1584542
Hiyo nyomi ni kweli haijawahi kushuhudiwa uwanja wa Samora Iringa...sijui walikusanywa wapi hawa kinda. Kweli hawa wataelewa kwa nini mgombea Urais Jamhuri ya Muungano Tanzania amewapigia magoti? Yaani wanaonekana wameduwaa na kwa mbali wanakumbuka waliyokuwa wakiyasikia kutoka kwa wazazi wao...! Lazima tukubali jamani, Mh. Tundu Antiphas Lissu anatisha!View attachment 1584589
Walioombwa kura ni hawa wacheza chandimu
🤣 🤣 🤣 Tundu Lissu ni hatari sana. Yaani kampigisha magoti Jiwe! Huyo Deo Sanga (Jah People) ni std 7 tu.Dah mambo magumu jamani!
View attachment 1584542
KiajeHali mbaya
View attachment 1584589
Walioombwa kura ni hawa wacheza chandimu
Hapo wamejaa watoto,wanafunzi na watu wazima wengi wamesombwa kutoka sehemu mbalimbali plus wasanii kina harmonize wapo upande wa pili lisu hana wasanii wala hana magari ya kubebelea watu
😂😂😂😂😂Huyu Meko alijidanganya mambo ni rahisi sana, sasa hivi anapigia magoti hadi watoto wa shule.
Kwako na baadhi ya wanachadema ni aibu...lakini unyenyekevu baada ya kufanya hivyo ndio utakaompa kura nyingi kwa mamilioni...Aibu naona Mimi