Uchaguzi 2020 Njombe: Dkt. Magufuli aomba kura kwa kupiga magoti mbele ya Wananchi

Uchaguzi 2020 Njombe: Dkt. Magufuli aomba kura kwa kupiga magoti mbele ya Wananchi

Amalizie standard Gage,na stiglers


Huyu si mlisema hatopiga kampeni maana kazi zake tu zinamuuza sasa mbona kadri siku za kampeni zinavyoyoyoma anazidi kuwa mpole,wakati kampeni zinaanza alikuwa anatufokea tu kana kwamba anachunga ng'ombe huko kwao Chato.

Mwambieni huyo bwana yenu Magufuli ikitokea akashinda uchaguzi aendelee na unyenyekevu huo huo sisi siyo ng'ombe wake wa Chatto ambao anaweza kutofokea,kututisha na kututandika minyeredi.
 
Acha wapigie magoti Mali walizojipatia kupitia madaraka yao.

Lisu waakimbize mchakamchaka .

Lisu walazimishe wataje Mali zao.
Majumba waliyokwapua na madhamba waliyojitwalia huku wakiwakejeli watu Kwa kutoa maelekezo ya Wanyongeni. Wanyonge wanyonge wanyonge Kumbe wanamaanisha wanyonge kweli.

Mungu hadhihakiwi . Mungu ndiye anayemwinua MTU na kumshusha chini . Mwaka huu CCM mtajua kuwa Mungu hakai kwenye ndiye jabali pekee na hapangiwi.
CCM mtajua kuwa Mungu sio mwanachama wa CCM.
 
The most corruptive(refer to Mayanga contractors and 1.5 trillion scandal),expensive and yet white elephant projects!

Tuna uelewa mkubwa na mpana, hatudanganyiki na ujinga
The most corruptive,what cent Did you contribute

Mlimchukua yule mliokua mkimtuhumu kuwa fisadi na siasa za kuzungusha Mikono,je hamkudanganyika na huo uwelewa wenu?
 
Karatu WANAKERA!!!!
Wamemsababishia mzee wa watu kupiga magoti baada ya kuona picha za Karatu. Kasahau usemi wake "Mimi ni jiwe kwelikweli!" kageuka tofali la tope.
IMG-20200929-WA0020.jpg
 
The most corruptive,what cent Did you contribute

Mlimchukua yule mliokua mkimtuhumu kuwa fisadi na siasa za kuzungusha Mikono,je hamkudanganyika na huo uwelewa wenu?
What did i contribute?!Mkuu una akili timamu?Mzee baba anadai kuwa miradi yote mikubwa inajengwa kwa pesa zetu za ndani ambazo ni kodi zetu then unaniuliza what did i contribute?!
 
Jiwe kapiga magoti?😳😳😳

Hii ni ishara mbaya, akiingia watu wataishi kwa kupiga magoti.
 
Sasa ulisikia wapi muuwaji wa binadam akawa mnyenyekevu?ulisikia wapi? Jambazi anaweza kunyenyekea ili kukulia taimingi Lakini jitu katiri linaloua na kufunga kwenye viroba halijui hayo usemayo
Acha kuhamisha shutuma zisizokuwa na ushahidi
 
Ana piga goti kwani kakosea nini.kumbe ana jijua ..ii inatosha tu kumnyima kura zetu hafaiiii..kiongozi dhaifu uyu ..

SUBIRI KIDOGO
 
Back
Top Bottom