Nenda na wewe upige magoti uone kama utapewa kuraRais John Magufuli ktk kipindi chote cha uongozi ametamka mara nyingi sana kwamba urais ni kazi ngumu (mateso) na kuomba tumuombee.
Cha ajabu ya Mwajabu, jana akiwa Njombe amepiga magoti akiomba kura ili aendelee kuwa rais.
Hivi ni kweli alikuwa anamaanisha kuwa kazi ya urais ni mateso? Kama ni mateso kwanini anapiga magoti kuomba mateso?
Hii ni dalili ya unyenyekevu na heshima kwa watu wa Njombe na Watanzania wote! Kupiga magoti ni ishara ya heshima kwa watu na inaonesha uadilifu na unyenyekevu wa Rais Magufuli kwa wapiga kura wote nchini kwa ujumla na kwa wale wa Njombe in particular.Dah mambo magumu jamani!..
Kwa umri wangu siwezi kuwa mtu wakuhadaiwa mkuu! Ila niseme tu uyu Magufuli anapiga kazi tuache unafiki!! Mzee kuna sehemu anatuvusha ila najua akili za vijana wa sasa hawawezi kuelewa!!Kijana, usihadaiwe na usanii. Wanyenyekevu utawatambua kwa Maneno na matendo yao.
njombe maji hayawezi kuzidi unga hata siku moja, nakuahakikishia mkoa ule sio chadema tu chama chochote pinza hakipati ubunge katika majimbo yake hizo ni mbwembwe za siasa tu.
rejea kichwa cha habari cha mada husika uliyotoa maoni yako awali.Wapi nilipoandika kuhusu Njombe? π³π³
rejea kichwa cha habari cha mada husika uliyotoa maoni yako awali.
Ila huyu mzee siku akiwa hayupo madarakani aminini nawaambia tutamkumbuka sana!!!!! Mimi ni kijana ambaye napenda maendeleo na kwabahati nzuri nimejiajiri najua ugumu wakujitegemea ila kwa miradi ya huyu serikali inayofanya kama akichaguliwa huyu mzee akaimaliza kweli nakwambia hii ichi vilio vyote vitaisha na tutaishi kwa raha sana...
Time will tell. Let's hope we will be around after mi5 mingine.Kwa umri wangu siwezi kuwa mtu wakuhadaiwa mkuu! Ila niseme tu uyu Magufuli anapiga kazi tuache unafiki!! Mzee kuna sehemu anatuvusha ila najua akili za vijana wa sasa hawawezi kuelewa!! Jipe muda bro kama atatoboa mi5 mengine utakuja kuniambia hapa na siku akiondoka atakuwa ni mtu wakutolewa mfano... Bora Magufuli angeendelea
Kama Kuna MTU Alikudanganya Akakwambia Chadema Imekufa, Nikuambie Sasa Mimi Nimeshuhudia Chadema Iko Mioyoni Mwa Watu, Aseee.Kwa umri wangu siwezi kuwa mtu wakuhadaiwa mkuu! Ila niseme tu uyu Magufuli anapiga kazi tuache unafiki!! Mzee kuna sehemu anatuvusha ila najua akili za vijana wa sasa hawawezi kuelewa!! Jipe muda bro kama atatoboa mi5 mengine utakuja kuniambia hapa na siku akiondoka atakuwa ni mtu wakutolewa mfano... Bora Magufuli angeendelea
Atarudi kwenye kazi yake Belgium baada ya kushindwa vibaya. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeππππππPale maji yanapozidi unga! Lissu the GREATEST si wa mchezo mchezo.
Wewe ulitakaje aje akushikilie wewe? Wacheni wivu, vitu vingine ni so trivial.Huyo alishawahi kumshikia Magu madafu wkt magu ameshalishika tayari mikononi liko mdomoni kwa mzee akijiandaa kunywa,kwa unafiki yuko njema
View attachment 1584578
Hakika.Wewe ulitakaje aje akushikilie wewe? Wacheni wivu, vitu vingine ni so trivial.
ATAPITA ANALIPA KODITutakupopoaView attachment 1586091
Hawezi kupita itakuwa na maana gani sasaATAPITA ANALIPA KODI